Greg50
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 1,953
- 2,431
Habari wakuu,
Baada ya kutafiti mitandaoni nimegundua kuwa kuna Kenyans wengi sana wanaotumia mitandao kujipatia pesa kama freeelancers na tutors compared to Tanzanians.
Mfano ni website moja inaitwa Idea connection nimeona humo Kenyan experts wako zaidi ya 700 wakati Tanzanian experts wako 80 tuu.
Tunaomba Kenyans mtupe tips mbalimbali ili tuweze nasi kutumia mitandao vyema kwa faida badala ya kushinda tuu WhatsApp, Instagram, Twitter bila faida yeyote.
Baada ya kutafiti mitandaoni nimegundua kuwa kuna Kenyans wengi sana wanaotumia mitandao kujipatia pesa kama freeelancers na tutors compared to Tanzanians.
Mfano ni website moja inaitwa Idea connection nimeona humo Kenyan experts wako zaidi ya 700 wakati Tanzanian experts wako 80 tuu.
Tunaomba Kenyans mtupe tips mbalimbali ili tuweze nasi kutumia mitandao vyema kwa faida badala ya kushinda tuu WhatsApp, Instagram, Twitter bila faida yeyote.