Wake za watu

Wake za watu

Swadakta ila wengine kama Ayanda wanahulka za kulipiza kisasi ati kwa vile wewe umefanya na mie nifanye ili kulipiza. Ingawa sijafikia umri wa kuoa ila haya nayaona mwisho UKIMWI
ushauri wangu kwako ukioa usitoke nje ya ndoa, no matter what.....
unaweza pata mke kama ayanda akakulipizia kisasi, lol!
 
Last edited by a moderator:
Binadamu tunatofautiana sana, co kila kitu afanyacho fulan na mwingine atafanya. Wengine ni mwiko kutoka nje ya ndoa hata kama kuna tatizo la aina gani. Lakin mm naamini ukiwa na hofu ya Mungu ya dhati huwezi kutoka nje ya ndoa ila utapambana na mitihan ya ndoa, na Mungu ni mwema yote yanakwisha na kubakia raha mustarehe.
 
ha ha ha ha ha kweli he is smarter kama anachukua mwanamke anayajitambua.

my dear, kwani nani kakwambia jamaa anajua natumia JF!

na huyo mumeo atamjuaje mtu wake 100%.


my dear hata huyu mume wangu mjinga ukimwambia ninatoka nje, hataamini maana anajua eti siwezi eti nampenda sanaa kumbe wapi.

kwahiyo mumie jamaa anaweza kuwa mumeo kama kawa tu.

chezeya binadamu weye! huwezi kumjua 100%

Mamaweeeeeeeeeeee mumeo mjinga aiseeee duhhh usifanye hivyo etiii hata kama hajui kwa wenzie inaumiza
 
Mkuu xana ndo nini?kwan kuandika "sana" unaona tabu gani? Sababu ya kutoa s na kuweka x ni nn?ebu tuachen ushamba bwana!usiharibu lugha bila sababu!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
ha haaa, kama huyo uliye naye ni mume wangu, basi he is dumb...........
how can he date someone who is proud of having kidumu?
C'mon, he can do better than that

maskini pole.

unapenda vita wewe.

enjoy life bana, mie kidumu changu(mumeo) chanipa raha ilioje.
 
ushauri wangu kwako ukioa usitoke nje ya ndoa, no matter what.....
unaweza pata mke kama ayanda akakulipizia kisasi, lol!
Tofauti yako na Ayanda ni moja kuwa wewe ni mke wa kuolewa. Lakini Ayanda anaonekana ni mke wa kuoa. Mke wa kuolewa utamwona jinsi anavyofikiri na jinsi alivyotulia. Kila wakati atamlinda mumewe na familia yake kwa ujumla. Mke kama wewe utafurahi mume wako akijenga kwao n.k. Lakina wake kama Ayanda ndo tunaoita DOT COM ambao ni fanya na mimi nifanye. Ukiamua kujenga kwenu kasheshe ile mbaya naye atakuibia hela ajenge kwao. Ukiamua kujenga kwao roho kwatu wala hutasikia neno. Akija mama ya mume hapakaliki ila akija mama yake, pale ni kwao. Nyumbani kwao lazima ndugu wa mke tu ndio wenye uhalali wa kuishi pale si upande wa mume. Hata akiwa na tetesi kuwa mumewe ana small house, basi haraka naye anataka kuwa na kidumu. Hivi unajua kuwa me anatoa na ke anapokea (utajaza sampuli ngapi mwilini kwa kushindana na mtoaji?) Je, unajua kuwa kansa ya kizazi inatokana na sampuli kuwa nyingi mwilini mwa ke? Hivyo upewe sifa FP
 
ucheshi wa kazi unapopungua viwango husababisha mambo kama hayo, tafakari ni yapi ulokuwa ukifanya kabla na baada ya ndoa, endapo umepunguza basi ujue wewe ndo kisababishi
 
Tofauti yako na Ayanda ni moja kuwa wewe ni mke wa kuolewa. Lakini Ayanda anaonekana ni mke wa kuoa. Mke wa kuolewa utamwona jinsi anavyofikiri na jinsi alivyotulia. Kila wakati atamlinda mumewe na familia yake kwa ujumla. Mke kama wewe utafurahi mume wako akijenga kwao n.k. Lakina wake kama Ayanda ndo tunaoita DOT COM ambao ni fanya na mimi nifanye. Ukiamua kujenga kwenu kasheshe ile mbaya naye atakuibia hela ajenge kwao. Ukiamua kujenga kwao roho kwatu wala hutasikia neno. Akija mama ya mume hapakaliki ila akija mama yake, pale ni kwao. Nyumbani kwao lazima ndugu wa mke tu ndio wenye uhalali wa kuishi pale si upande wa mume. Hata akiwa na tetesi kuwa mumewe ana small house, basi haraka naye anataka kuwa na kidumu. Hivi unajua kuwa me anatoa na ke anapokea (utajaza sampuli ngapi mwilini kwa kushindana na mtoaji?) Je, unajua kuwa kansa ya kizazi inatokana na sampuli kuwa nyingi mwilini mwa ke? Hivyo upewe sifa FP


ah we nawe senge tu,

nani kakwambia mi nina hizo sifa ulizotaja hapo sijui uchoyo n.k

na nani kakwambia nalipiza kisasi?

ah umeandika kwa urefuuuuuuuu utadhani unatafuta tuzo.

peace and love bana usijali
 
Mila na desturi zinachangia sana. Nimeoa kabila ambalo wanaamina ktk mafiga matatu ya ndoa. Mume wa ndoa, bwana wa gengeni na wa starehe.hata ukumtimizia kila kitu ndani lazima atatoka nje.
Pili kuna makabila ambayo uzinzi ni jambo la kawaida hivyo akitoka nje usishangae.
 
Ni kwanini wake za watu ni wepesi xana kushawishiwa kimapenzi? Pia hutoka xana nje ya ndoa hii inatia hasira xana je wadogo zetu kwa njia hz wataoa na kuolewa? Mh! Inatisha lakini ni lazima kuna sababu juu ya haya inaweza ikawa ni nn?
Nadhani waume za watu ni zaidi.
 
ah we nawe senge tu,

nani kakwambia mi nina hizo sifa ulizotaja hapo sijui uchoyo n.k

na nani kakwambia nalipiza kisasi?

ah umeandika kwa urefuuuuuuuu utadhani unatafuta tuzo.

peace and love bana usijali
Nimefurahi sana katika RED. Unajua ukiomba ushauri ukajibiwa kasali, jua aliyeomba ushauri amefika mwisho. Ukijibizana na mtu kwa hoja akaanza kupandisha na kutusi jua kaishiwa hoja. Katika mashauri ya ndoa ukisikia kamwonue mchungaji au Padre au Imamu jua naye vile vile maana hata hao ni binadamu kama wewe na mimi. Aksante kwa kunipa heshima ya hapo RED ila Chocs ambaye ni mama ngina akaulizwe.
 
Kama una enjoy na jamaa mpya, kwanini hamuachi wa zamini kama unajiamini?
 
Kama una enjoy na jamaa mpya, kwanini hamuachi wa zamani kama unajiamini?
 
Nimefurahi sana katika RED. Unajua ukiomba ushauri ukajibiwa kasali, jua aliyeomba ushauri amefika mwisho. Ukijibizana na mtu kwa hoja akaanza kupandisha na kutusi jua kaishiwa hoja. Katika mashauri ya ndoa ukisikia kamwonue mchungaji au Padre au Imamu jua naye vile vile maana hata hao ni binadamu kama wewe na mimi. Aksante kwa kunipa heshima ya hapo RED ila Chocs ambaye ni mama ngina akaulizwe.

kwani hapa kuna mashindano ya hoja.

anyway, ningekuwa wewe nisingejibu.

unajua i dont get a point as to why people here quote me or reply to me.

jamani punguzeni jazba, mwenzenu najipa raha tu nicheke then niende zangu home.Nyie mmekazana na mambo ya ndoa!

ah poleni
 
Anaikinai ya jamaa maanake anaamka nayo kila siku + performance ndogo = ​Lazima utasaidiwa tu
 
Back
Top Bottom