FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,409
Ni kwanini wake za watu ni wepesi xana kushawishiwa kimapenzi? Pia hutoka xana nje ya ndoa hii inatia hasira xana je wadogo zetu kwa njia hz wataoa na kuolewa? Mh! Inatisha lakini ni lazima kuna sababu juu ya haya inaweza ikawa ni nn?
Kuna Lugha zingine nikiziona hasa kama zimeandikwa na mtu mwenye akili Timamu napata hasira ....