Wake za watu

Wake za watu

my dear ni kweli ni ngumu kutoka nyumba ikiwa na tension.

so kinachofanyika ni kwamba mtu hutulia kwa muda na kutafakari kwamba anachohangaikia ni nini hasa, then akiri ikishatulia anaona migogoro ni kama kilema tu kwa hiyo mtu atatoka nje bila hata hasira wala nini.

tena baada ya kutoka nje, hata migogoro inapungua ndani maana hamna tena maugomvi, kelele wala wivu wa kijinga.

mume aliye makini anaweza kugundua mapema.

kuna ka ukweli ndani yake
 
Unapenda maraharaha weye eeh!? wala usijibu maana najua jibu lako litakuwa ni swali KKY lol!

Have a great weekend


Sitauliza swali leo
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
unaweza ukasema hivyo....
lakini itanisaidia nini kutoka nje ninapokuwa nina migogoro? huko nje nita-enjoy?
mimi naamini kwenye kufurahia mapenzi..... yaani nikiamua kutoka ni kwamba naamini huko naenda kupata raha na siyo naenda huko kwa sababu nyumbani kuna migogoro.
kwanza hata akili haitakuwa kwenye hayo mapenzi, ni chuki tu na kukomoa, sasa ya shida gani hayo?

Nimekupata hapo kwenye bold!
 
Survey niliyoifanya inaonyesha asilimia 90 ya wanawake waloolewa ni wepesi kutongoza. Wana mabwana zaidi ya wawili na hudanganywa kwa vitu vidogovidogo na ving'ang'anizi.
 
Back
Top Bottom