Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
asante....hahahah!kila la kheri mdada.
asante....hahahah!kila la kheri mdada.
Nimeshaona mifano ndiyo maana nimeishia kucheka.asante....
Unalala na mke wako mwezi mzima hijampa.. Why asitoke?
Ni kwanini wake za watu ni wepesi xana kushawishiwa kimapenzi? Pia hutoka xana nje ya ndoa hii inatia hasira xana je wadogo zetu kwa njia hz wataoa na kuolewa? Mh! Inatisha lakini ni lazima kuna sababu juu ya haya inaweza ikawa ni nn?
umeshaona mifano kwamba, wanandoa wakigombana wakaishia kutoka nje then ugomvi unaisha?Nimeshaona mifano ndiyo maana nimeishia kucheka.
Kuna mama mmoja hapa jirani yetu amekuwa anabadili sana mabinti wa kazi,unaweza ukasema hivyo....
lakini itanisaidia nini kutoka nje ninapokuwa nina migogoro? huko nje nita-enjoy?
mimi naamini kwenye kufurahia mapenzi..... yaani nikiamua kutoka ni kwamba naamini huko naenda kupata raha na siyo naenda huko kwa sababu nyumbani kuna migogoro.
kwanza hata akili haitakuwa kwenye hayo mapenzi, ni chuki tu na kukomoa, sasa ya shida gani hayo?
ndo maana nakuambia ni smart........ kama upo smart huwezi anza kutoka na mtu bila kumfahamu inside out
iwe anajua yupo jf au la hata kama atajitambulisha kwa fake id bado inatakiwa mtu smart kutambua kuwa aliyenaye hawezi akafanya hivyo. Mimi najua kila ambacho mume wangu yupo capable kukifanya, hata kama sitamzuia kukifanya lakini najua anaweza kufanya hiki, got my point?
Mmmmh! maneno ya hivi huwa yanatoka moyoni
ha haaa, nakurusha roho tu na wewe, lol!ha ha ha jamani mume anaumajeeeeeeeee
yaani povu linakutoka maskini pole.
ombea awe anatembea na mimi maana waweza mkuta kainamishwa na jidume au kainamisha shoga.
usijali bana
ha haaa, nakurusha roho tu na wewe, lol!
siku nyingine ukitafuta mume, tafuta ambaye anaweza kukusitiri......
siyo janaume ambalo linaweza kukusms na kuruhusu janamke lake kukusms eti wanatoka guest, lol!
next time jipitishepitishe kwa smart guys, lol!
ha haaa, kama huyo uliye naye ni mume wangu, basi he is dumb...........ha ha ha sitafuti mume mamito wa kazi gani? mume ninaye home ananipa status yangu ya kuwa mke wa mtu.
smart guy ninae si mumeo
ha ha ha nakumbuka enzi hizo nilikua na mawazo kama yako best!
peace and love
tatizo alitatuliwi kwa kulikimbia......sanasana utatengeneza lingine tu...umeona eeeh!
Hujanielewa ndiyo maana umenitusi.anyway !asante kwa jibu lakokumbe je
ulidhani yanatoka kwenye k au
Zamani wewe ulikuwa unawajua au uliambiwa? Nakuhakikishia kuwa siku hizi wanaume tuna nguvu zaidi ya wazamani ndo maana small house na vidumu vimezidi, bisha!sababu kubwa ni wanaume hawana nguvu za kiume km zaman.
Swadakta ila wengine kama Ayanda wanahulka za kulipiza kisasi ati kwa vile wewe umefanya na mie nifanye ili kulipiza. Ingawa sijafikia umri wa kuoa ila haya nayaona mwisho UKIMWIhakuna mgogoro wenye solution ya kwenda nje ya ndoa, hakuna!
Hilo nalo ndio Jibu, mashine ikipwaya tu unaona baridi lazima uingie mtaani kuna Style mpya zisijetupita maana kwa Wife mwenye watoto wangu wanne huwezi leo mwambia chuma mboga akakubali au kumgusia ule mtandao wa bei ..sababu kubwa ni wanaume hawana nguvu za kiume km zaman.