Una nyota ya vaseline, kimbia sana mkuu, kimbia mpaka uvunjike miguu hahaha, natania




Kula futa dogo acha uogaKumekuwa na wimbi kubwa sana siku hizi kuhusu wake za watu kutongoza vijana. Mara nyingi mimi kama kijana nakumbana na hii kadhia mara nyingi sana, na hasa hasa kutoka mitandao ya kijamii na mitaani pia.
Unakuta mmama mtu mzima anamtongoza kijana bila hata ya hofu na aibu, mama kimtazamo anajistiri. Unaweza ukasema huyu ndo mke sasa. Mama ana watoto watatu wanne lakini kijana ana miaka 20-25 ni makamu ya mtoto wake wa kumzaa lakini
Karibuni.
Hakika kabisaaah.Hao ndio wale wanawake wachache wanaotufanya wanawake wote tuonekane hatuna maana, kama mtu haupo na furaha kwenye hio ndoa s muachane kwa amani tu
Hata mimi kuna kabaamedi kamoja hapo Makuti bar kananiambia kana mume wake. Na kila siku kanalala geto na wenzake... Baadae nakuja kushtuka kuambiwa kumbe huyo mume wake anayemsemea ni mimi...



khaaaahHayo ni majaribu ya shetani anataka uliwe, siku ukiteleza tu basi jitahidi uwe unatembea na hizi zana
View attachment 1833614View attachment 1833615




On target already!Kumekuwa na wimbi kubwa sana siku hizi kuhusu wake za watu kutongoza vijana. Mara nyingi mimi kama kijana nakumbana na hii kadhia mara nyingi sana, na hasa hasa kutoka mitandao ya kijamii na mitaani pia.
Unakuta mmama mtu mzima anamtongoza kijana bila hata ya hofu na aibu, mama kimtazamo anajistiri. Unaweza ukasema hu
Hahahah chalii anaogopa scaniaEbu nipatie hiyo user name ya huyo mamiloo arifu nimsanye fasta Mbona kama fursa hii chaliwangu alafu unafeli
Ahahaha jamaa kwa shingo upande anataka kupishana na community basket fundWatu wanatafuta mitaji we unapiga teke Mfuko wa maendeleo? Dogo kuwa serious na maisha 😂😂😂 siku moja utakuja kuzikumbuka hizo chance...aliskika Mlevi mmoja!
Eeh hizo basket fund ni muhimu sana kwa kujipush kimikakati😅 wahuni wanalia lia na mizinga ya nyuklia huku vijana wanachezea bahatiahahaha jamaa kwa shingo upande anataka kupishana na community basket fund