Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,061
Na wamerogwa kweli maana kuwatuliza mpaka aanze kwanza kuwarogaUsikute wamerogwa hao
Na wamerogwa kweli maana kuwatuliza mpaka aanze kwanza kuwarogaUsikute wamerogwa hao
Tena boya kweliUkiona hivyo ujue mmoja kajigeuza boya
Kuishi hivyo mpaka akili zenu zifanane na madishi yawe yameyumbaHata mi siwezi kwa kweli uwiiii mnaweza mkawekeana sumu ivi ivi
Wana moyo sanaKuishi hivyo mpaka akili zenu zifanane na madishi yawe yameyumba
3same tamu sana asikwambie mtu bhana ukioa wake 2...Kwa mapenzi hayo itakua 3some inahusika
Moyo sijui wa paka, lazima hata watoto wao watakao zaliwa watakuwa na mistake vichwani mwaoWana moyo sana
Mkuu ni vigumu sana kuhoji mtu ambaye life style yake ni ya utata.Kwanini hukumuuliza muhusika?
Mkuu nadhani mume anakuwa na akili za ziada kuwa-control!Nmewai kuiona hii ukonga/mazizin kijana wa kigogo alikua anaishi na wake wawili chumba kimoja tena maisha ya nyumba za kupanga lakin full aman kuheshimiana sisi wa nje ndo tukawa tunajiuliza wanaishije lakin wao ata habar hawana mambo yanaenda tu sijui sisi wangine tunashidwa wap
Duhh kwahiyo usiku mke ambaye hana zamu (match) anaenda kulala sebleni au inakuwaje kuwaje hapo?Nilipoenda Tabora kumtembelea mdogo wangu, nilistaajabu kushuhudia ninayoyasimulia leo.
Bwana mdogo kaanza karibuni maisha ya kujitegemea, kapanga chumba kimoja na sebule maeneo ya chemuchemu.
Pale pia kuna jamaa mmoja mpangaji mwenziye kapanga chumba na sebule lakini akiishi na wanawake wawili mitala kwa kutumia chumba kimoja.
Wake zake hao wanaishi kwa upendo mkubwa huku wakiitana dada. Kazi na hadi kula wanakula pamoja!
Ndugu zangu wataalamu wa saikolojia, jambo hili sijawahi kuliona popote Tz.
Maana kama ni ukewenza, ni lazima mwanaume awajengee nyumba zao tofauti, ama kama ni kupanga atawapangia nyumba tifauti.
Ni maarifa gani yanayosaidia mwanamme kuwamudu, kuweza kuishi nao kwa ukitumia chumba kimoja na wanawake wakaelewana kama kulwa na doto, kiasi cha kuwa ni mfano wa kuigwa?
kawazidi ujanja wake zake kawachomoa fuziNilipoenda Tabora kumtembelea mdogo wangu, nilistaajabu kushuhudia ninayoyasimulia leo.
Bwana mdogo kaanza karibuni maisha ya kujitegemea, kapanga chumba kimoja na sebule maeneo ya chemuchemu.
Pale pia kuna jamaa mmoja mpangaji mwenziye kapanga chumba na sebule lakini akiishi na wanawake wawili mitala kwa kutumia chumba kimoja.
Wake zake hao wanaishi kwa upendo mkubwa huku wakiitana dada. Kazi na hadi kula wanakula pamoja!
Ndugu zangu wataalamu wa saikolojia, jambo hili sijawahi kuliona popote Tz.
Maana kama ni ukewenza, ni lazima mwanaume awajengee nyumba zao tofauti, ama kama ni kupanga atawapangia nyumba tifauti.
Ni maarifa gani yanayosaidia mwanamme kuwamudu, kuweza kuishi nao kwa ukitumia chumba kimoja na wanawake wakaelewana kama kulwa na doto, kiasi cha kuwa ni mfano wa kuigwa?
jidanganye tu!Hao watakuwa hawana elimu.