Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,061
Safi sana, ujua kwanini wanamfuata huko ndani itakuwa hali jojo, mizigo 3!?Hiyo kawaida tu pia kuna jamaa namfahamu kaoa wake wawili na anakaa nao pamoja, ingawa tofauti kidogo .
Yeye anakaa chumba chake wake zake wanakaa kila mmoja na chumba chake wanapokezana kumfata mume chumbani.kule ktk vyumba vya wake wanataka na watoto.
Pia mwingine yupo namjua kaoa watatu sasa anakomaje wanapokezana mmoja kumfata kazini miss wa kutoka ili asiende kwa hawara wanasema bora aongeze wewe wanne