Solomon David
JF-Expert Member
- Mar 1, 2009
- 1,148
- 16
Sidhani kama alihusika kwa hilo, na kuagiza pombe au kunywa pombe hakumaanishi kuwa u mkristo au la.
Ninawafahamu wakiristo wengi wasio agiza kunywa wala kuuza pombe na nawafaham ''waislam'' wengi wenye kuagiza, kuuza na kunywa pombe.
ohh yeah, alihusika sana na zile Stella.
ufisadi wa huyu mama umekaa kikristo kristo (kama mafisadi walioshitakiwa na serikali ya Kikwete).