A
Anonymous
Guest
Sisi wakazi wa Goba Mitaa ya Nasary & Mwanzo tuna kero kubwa ya kukosa maji, unakuta tunapata mara 3 au 4 kwa Mwaka😢 wakati ambapo mitaa ya jirani wao wenyewe wanapata walau mara moja kwa mwezi.
Hii hali inatuumiza sana kwa kuwa kuna muda tunalazimika kununua madoza ya maji hadi kwa Shilingi 50,000 kwa doza moja la lita 1,000, sasa hapo tuna uchumi gani wa kununua maji kwa bei hiyo?
Hii hali inatuumiza sana kwa kuwa kuna muda tunalazimika kununua madoza ya maji hadi kwa Shilingi 50,000 kwa doza moja la lita 1,000, sasa hapo tuna uchumi gani wa kununua maji kwa bei hiyo?