Wakazi wa asili wa Zanzibar ni watu gani?

Maana miaka ya 1800 Sultani alianzisha kilimo cha karafuu Zanzibar. Biashara hii na ile ya utumwa ilikuwa ya pesa nyingi. Mwishowe akaamua yeye mwenyewe kuhamia Zanzibar.

Hapo waarabu kibao kutoka Oman wakahama naye. Wakaanzisha mashamba ya karafuu na kuweka watumwa kibao kufanya kazi. Hata leo wakazi wengi unakuta wanaasili ya wanyamwezi, wayao, hadi wamanyema kutoka Congo. Mababu zao walikuwa watumwa.

Sasa wakazi wa asili kabisa wa Zanzibar ni watu gani? Lugha yao ni ipi? Au kulikuwa hakuna watu, maana visiwa vingi vya bahari ya hindi vilikuwa haviishi watu miaka watu wameanza kusafiri huku na huko baharini.
Nadhani ni watumbatu ambao nao pia asili yao ni bara.
 
Maana miaka ya 1800 Sultani alianzisha kilimo cha karafuu Zanzibar. Biashara hii na ile ya utumwa ilikuwa ya pesa nyingi. Mwishowe akaamua yeye mwenyewe kuhamia Zanzibar.

Hapo waarabu kibao kutoka Oman wakahama naye. Wakaanzisha mashamba ya karafuu na kuweka watumwa kibao kufanya kazi. Hata leo wakazi wengi unakuta wanaasili ya wanyamwezi, wayao, hadi wamanyema kutoka Congo. Mababu zao walikuwa watumwa.

Sasa wakazi wa asili kabisa wa Zanzibar ni watu gani? Lugha yao ni ipi? Au kulikuwa hakuna watu, maana visiwa vingi vya bahari ya hindi vilikuwa haviishi watu miaka watu wameanza kusafiri huku na huko baharini.
miaka hawakuwepo watu bhana ukweli usemwe kama wangekuwepo surutani asinge futa vibarua tabora kongo nk
 
Maana miaka ya 1800 Sultani alianzisha kilimo cha karafuu Zanzibar. Biashara hii na ile ya utumwa ilikuwa ya pesa nyingi. Mwishowe akaamua yeye mwenyewe kuhamia Zanzibar.

Hapo waarabu kibao kutoka Oman wakahama naye. Wakaanzisha mashamba ya karafuu na kuweka watumwa kibao kufanya kazi. Hata leo wakazi wengi unakuta wanaasili ya wanyamwezi, wayao, hadi wamanyema kutoka Congo. Mababu zao walikuwa watumwa.

Sasa wakazi wa asili kabisa wa Zanzibar ni watu gani? Lugha yao ni ipi? Au kulikuwa hakuna watu, maana visiwa vingi vya bahari ya hindi vilikuwa haviishi watu miaka watu wameanza kusafiri huku na huko baharini.
Leo kuna wanaomtaka sultan wao arudi, shida kubwa
 
Mbona waarabu wa Oman wamekuja miaka ya karibuni tu.

Visiwa huwa havina watu wa asili....wananchi walianza kuhamia huko karne nyingi tu zilizopita....mathalani Uislam uliingia Zanzibar karne ya 7 kwa kuletwa na WAFANYABIASHARA wa Persia/Uajemi....na ndio maana walio wengi ni wafuasi wa madhehebu ya SUNNI na si IBADHI(OMAN).

Hata ukristo uliingia Zanzibar karne nyingi mno kabla ya hao waarabu wa Oman.

Wenyeji wa Zanzibar wametokea Tanganyika,Pwani ya Kenya ,Sudan,Uganda Comoro,Malawi,Msumbiji na DRC.

Ni miaka ya hivi karibuni wakati wa utawala wa hayati Abeid Amani Karume kuwataka WAZANZIBARI waitwe WASHIRAZI ili kuondoa UBAGUZI NA MATABAKA.

#SiempreJMT
Karne ya 7 kulikuwa na Uislam? Walishuhudia kwa Mtume yupi ilihali Muhammad (S.A.W) hakuwepo?
 
Katika dunia hii hakuna mwenyeji wa eneo.

Mwenyeji wa Eneo alikuwa Adam peke yake

Wengine wote wapo eneo flani kutokana na movements zilizokuwepo tangu zamani

Hata Tanzania hakuna kabila la kujiita wenyeji
 
Hahaha, eti waliogundua visiwa, kilikuwa hakipo wala hakionekani wakakigundua wao?
Tukubaliane na ukweli wenzetu walikuwa na utamaduni wa kusafiri Baharini na vyombo vyao vya usafiri vinalithibitisha hilo.

Kwa upande mwingine sisi Wabantu tulikuwa na vingarawa vidogo vidogo vya kuvulia samaki pembezoni mwa Bahari.

Ukweli ndio huo wala sio self hate.
 
Mbona waarabu wa Oman wamekuja miaka ya karibuni tu.

Visiwa huwa havina watu wa asili....wananchi walianza kuhamia huko karne nyingi tu zilizopita....mathalani Uislam uliingia Zanzibar karne ya 7 kwa kuletwa na WAFANYABIASHARA wa Persia/Uajemi....na ndio maana walio wengi ni wafuasi wa madhehebu ya SUNNI na si IBADHI(OMAN).

Hata ukristo uliingia Zanzibar karne nyingi mno kabla ya hao waarabu wa Oman.

Wenyeji wa Zanzibar wametokea Tanganyika,Pwani ya Kenya ,Sudan,Uganda Comoro,Malawi,Msumbiji na DRC.

Ni miaka ya hivi karibuni wakati wa utawala wa hayati Abeid Amani Karume kuwataka WAZANZIBARI waitwe WASHIRAZI ili kuondoa UBAGUZI NA MATABAKA.

#SiempreJMT
Wa Oman wako Suni na wako Ibadh,na ukifika Oman,ni kosa kubwa kubaguana kwa kimadhebu,na ndivyo hivyo hivyo utawala wa Sultan Zanzibar,ilikuwa haungilii madhehebu,mtu anafuata madhehebu anayotaka.
 
Tukubaliane na ukweli wenzetu walikuwa na utamaduni wa kusafiri Baharini na vyombo vyao vya usafiri vinalithibitisha hilo.

Kwa upande mwingine sisi Wabantu tulikuwa na vingarawa vidogo vidogo vya kuvulia samaki pembezoni mwa Bahari.

Ukweli ndio huo wala sio self hate.
Sawa, sikatai

Ila ninyi huwa mnshindwa kutofautisha ugunduzi na urasimishaji

Hakuna Mgeni aliyegundua landscape yoyote aliyoikuta Afrika

Walisafiri ndio lakini walivikuta na walikuta Watu wakihusiana navyo na waafrika waliviita kwa majina ya asili yao kabla Mzungu hajafika

Walichofanya wao ni kurename na kurasimisha basi

Ni kama kuambiwa John Rebman aligundua Mlima Kilimanjaro....HOW?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom