Smart Gang
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 1,977
- 3,302
Wahamidu na watumbatu .
Nadhani ni watumbatu ambao nao pia asili yao ni bara.Maana miaka ya 1800 Sultani alianzisha kilimo cha karafuu Zanzibar. Biashara hii na ile ya utumwa ilikuwa ya pesa nyingi. Mwishowe akaamua yeye mwenyewe kuhamia Zanzibar.
Hapo waarabu kibao kutoka Oman wakahama naye. Wakaanzisha mashamba ya karafuu na kuweka watumwa kibao kufanya kazi. Hata leo wakazi wengi unakuta wanaasili ya wanyamwezi, wayao, hadi wamanyema kutoka Congo. Mababu zao walikuwa watumwa.
Sasa wakazi wa asili kabisa wa Zanzibar ni watu gani? Lugha yao ni ipi? Au kulikuwa hakuna watu, maana visiwa vingi vya bahari ya hindi vilikuwa haviishi watu miaka watu wameanza kusafiri huku na huko baharini.
miaka hawakuwepo watu bhana ukweli usemwe kama wangekuwepo surutani asinge futa vibarua tabora kongo nkMaana miaka ya 1800 Sultani alianzisha kilimo cha karafuu Zanzibar. Biashara hii na ile ya utumwa ilikuwa ya pesa nyingi. Mwishowe akaamua yeye mwenyewe kuhamia Zanzibar.
Hapo waarabu kibao kutoka Oman wakahama naye. Wakaanzisha mashamba ya karafuu na kuweka watumwa kibao kufanya kazi. Hata leo wakazi wengi unakuta wanaasili ya wanyamwezi, wayao, hadi wamanyema kutoka Congo. Mababu zao walikuwa watumwa.
Sasa wakazi wa asili kabisa wa Zanzibar ni watu gani? Lugha yao ni ipi? Au kulikuwa hakuna watu, maana visiwa vingi vya bahari ya hindi vilikuwa haviishi watu miaka watu wameanza kusafiri huku na huko baharini.
kaline ya 7 hakuna wabatu waliokuwa wanaishi visiwani humoWatu wa bara
Waarabu si walikuja badaye na kuna wabantu
Waliwakuta hapo
Ova
watu weusi ni wavivu wa kutenbea tofaoti na weupe unashangaa kafikajeHv unaakili muajemi amefikaje afrika
Leo kuna wanaomtaka sultan wao arudi, shida kubwaMaana miaka ya 1800 Sultani alianzisha kilimo cha karafuu Zanzibar. Biashara hii na ile ya utumwa ilikuwa ya pesa nyingi. Mwishowe akaamua yeye mwenyewe kuhamia Zanzibar.
Hapo waarabu kibao kutoka Oman wakahama naye. Wakaanzisha mashamba ya karafuu na kuweka watumwa kibao kufanya kazi. Hata leo wakazi wengi unakuta wanaasili ya wanyamwezi, wayao, hadi wamanyema kutoka Congo. Mababu zao walikuwa watumwa.
Sasa wakazi wa asili kabisa wa Zanzibar ni watu gani? Lugha yao ni ipi? Au kulikuwa hakuna watu, maana visiwa vingi vya bahari ya hindi vilikuwa haviishi watu miaka watu wameanza kusafiri huku na huko baharini.
Aisee , Sasa ilikuwaje paitwe zinjibarWakazi wa Asili wa Zanzibar ni Waajemi wa Ushirazi.
Walivikuta na watu weusiNdio waliokuwa wakaazi wa asili,yaani waliogundua visiwa.
Hakuna huo ushahidi.Walivikuta na watu weusi
Karne ya 7 kulikuwa na Uislam? Walishuhudia kwa Mtume yupi ilihali Muhammad (S.A.W) hakuwepo?Mbona waarabu wa Oman wamekuja miaka ya karibuni tu.
Visiwa huwa havina watu wa asili....wananchi walianza kuhamia huko karne nyingi tu zilizopita....mathalani Uislam uliingia Zanzibar karne ya 7 kwa kuletwa na WAFANYABIASHARA wa Persia/Uajemi....na ndio maana walio wengi ni wafuasi wa madhehebu ya SUNNI na si IBADHI(OMAN).
Hata ukristo uliingia Zanzibar karne nyingi mno kabla ya hao waarabu wa Oman.
Wenyeji wa Zanzibar wametokea Tanganyika,Pwani ya Kenya ,Sudan,Uganda Comoro,Malawi,Msumbiji na DRC.
Ni miaka ya hivi karibuni wakati wa utawala wa hayati Abeid Amani Karume kuwataka WAZANZIBARI waitwe WASHIRAZI ili kuondoa UBAGUZI NA MATABAKA.
#SiempreJMT
Hahaha, eti waliogundua visiwa, kilikuwa hakipo wala hakionekani wakakigundua wao?Ndio waliokuwa wakaazi wa asili,yaani waliogundua visiwa.
umewahi kusoma kitu kinaitwa monsoon winds na safari za majahazi ulipokuwa shuleni?Hv unaakili muajemi amefikaje afrika
Tukubaliane na ukweli wenzetu walikuwa na utamaduni wa kusafiri Baharini na vyombo vyao vya usafiri vinalithibitisha hilo.Hahaha, eti waliogundua visiwa, kilikuwa hakipo wala hakionekani wakakigundua wao?
Tunaishi kwenye Taifa la aibu,Prof.Abdulrazak Gurnah aliepata tuzo ya Nobel alifukuzwa Zanzibar kupitia siasa za ubaguzi wa rangi za CCM-Zanzibar ikabidi akaombe uraia Uengreza.
View attachment 1970034View attachment 1970035
Wa Oman wako Suni na wako Ibadh,na ukifika Oman,ni kosa kubwa kubaguana kwa kimadhebu,na ndivyo hivyo hivyo utawala wa Sultan Zanzibar,ilikuwa haungilii madhehebu,mtu anafuata madhehebu anayotaka.Mbona waarabu wa Oman wamekuja miaka ya karibuni tu.
Visiwa huwa havina watu wa asili....wananchi walianza kuhamia huko karne nyingi tu zilizopita....mathalani Uislam uliingia Zanzibar karne ya 7 kwa kuletwa na WAFANYABIASHARA wa Persia/Uajemi....na ndio maana walio wengi ni wafuasi wa madhehebu ya SUNNI na si IBADHI(OMAN).
Hata ukristo uliingia Zanzibar karne nyingi mno kabla ya hao waarabu wa Oman.
Wenyeji wa Zanzibar wametokea Tanganyika,Pwani ya Kenya ,Sudan,Uganda Comoro,Malawi,Msumbiji na DRC.
Ni miaka ya hivi karibuni wakati wa utawala wa hayati Abeid Amani Karume kuwataka WAZANZIBARI waitwe WASHIRAZI ili kuondoa UBAGUZI NA MATABAKA.
#SiempreJMT
Acha ubaguziMachotara wanaiharibu sana zenji,ndio yanayopandikiza chuki na utengano.
Machotara wanaiharibu sana zenji,ndio yanayopandikiza chuki na utengano.
Sawa, sikataiTukubaliane na ukweli wenzetu walikuwa na utamaduni wa kusafiri Baharini na vyombo vyao vya usafiri vinalithibitisha hilo.
Kwa upande mwingine sisi Wabantu tulikuwa na vingarawa vidogo vidogo vya kuvulia samaki pembezoni mwa Bahari.
Ukweli ndio huo wala sio self hate.