nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
I totaly agree with you; lakini ni very few have such ability. Ndio maana nikasema upbringing inajenga confidence.
Hata mi nina haters wa kutosha kwa sababu kuna watu hawapendi success of others; but I feel so happy when I know my success has made someone sick. lol.
Kuna watu BP inapanda wenzao wakifanikiwa na it can openely be read just by looking into their faces. Kuna watu wanatoa tabasamu, tabasamu zinagoma ukiwambia nimefanikiwa hiki au kile.
Kuna baba mmoja wa kabila fulani ni jirani yetu alipata BP akapalalaizi baba akawa anatuchekesha anasema Mzee (anamtaja jina) amepata stroke sababu yule kijana jirani yake ameangusha ghorofa la nguvu. Huyo Mzee ana roho ya kwa nini kila mtu anamjua. Sad ni kuwa my dad was connecting his behavior with kabila lake eti ndivyo walivyo.
Hata mi nina haters wa kutosha kwa sababu kuna watu hawapendi success of others; but I feel so happy when I know my success has made someone sick. lol.
Kuna watu BP inapanda wenzao wakifanikiwa na it can openely be read just by looking into their faces. Kuna watu wanatoa tabasamu, tabasamu zinagoma ukiwambia nimefanikiwa hiki au kile.
Kuna baba mmoja wa kabila fulani ni jirani yetu alipata BP akapalalaizi baba akawa anatuchekesha anasema Mzee (anamtaja jina) amepata stroke sababu yule kijana jirani yake ameangusha ghorofa la nguvu. Huyo Mzee ana roho ya kwa nini kila mtu anamjua. Sad ni kuwa my dad was connecting his behavior with kabila lake eti ndivyo walivyo.
Heck..those so called 'downers' I call them haters. The best way to deal with them is to make them your motivators.
I've done it throughout and it has worked. They've always brought the best out of me.
I love it when people doubt me. I like it when people talk junk about my abilities.
I love haters because they inspire me to maximize my potential. I am a self-motivated guy but I love to have haters around.
Thus I say, make your haters your motivators.