Ni Mimi Msiogope
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 352
- 200
Pasco umemaliza kila kitu. Watu sio kuwa wanamzuia kusema bali hizi tabia za tisha toto zinaonyesha anachotaka kusema (tena kwa wakati huu) kina malengo maalum. Hapa hajasema kitu tayari tafsiri zimekuwa nyingi kwa kadri kila mtu anavyotamani iwe. Hata kama hata sema tayari kuna damage fulani hivi ambayo ishatokea. Huyu bwana akija hapa na kusema " yale yote niliyosema mahakamani ndio ukweli wenyewe na MUNGU ni shahidi yangu kuna watu watasema kesha tishwa ndio maana kasema hivi.
Aliloonyesha Deus naungana nawe ni tabia za kike kabisa.
Sent from my iPad using JamiiForums
Watu mnamtukana Mama zenu na Dada zenu na wake zenu kwa kudhani kuwa Mnamtukana Deus F Mallya. Poleni sana
Last edited by a moderator: