kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,310
- 12,607
Mungu kupitia COVID-19 ameonyesha kuwa makao makuu yake yako Africa. Inawezekana ameyahamishia Africa kutoka huko yalikokuwa awali au yalikokuwa yako Africa muda ila dunia ilipotoshwa na wajanja.
Hata Mimi nilikuwa nikishangaa na kumshangaa Mungu muumba, kwanini makao makuu ya dini yawepo kwenye mataifa ambayo watu wake wanapigana mabomu kila siku kugombea ardhi? Kwanini makao makuu yawe kwenye mataifa yaliyowafanya watu watumwa, mataifa ambayo viongozi wa dini wanakula kondoo hata wadogo, wanaogombea mafuta kila siku, wanaokubali ushoga, waliojilockdown eti kwasababu ya corona na kufunga nyumba zote za ibada lakini walioathiliwa Sana na COVID-19?.
Sio Mimi tu bali hata wewe, sisi na wao wamethibitisha kupitia COVID-19 kuwa makao makuu ya Mungu na mataifa matakatifu yako wapi japa duniani.
Pia wamegundua kuwa huenda wao wanaabudu kitu kingine kabisa sio Mungu muumba.
Africa ina sababu ya kujiamini Sasa kuliko muda mwingine wowote katika historia yake kuwa wanae Mungu yule wa ukweli na kutumainiwa. Ambaye bila yeye tungeshamalizwa na wenzetu weupe kupitia HIV, Malaria, TB, vyakula, misaada, nk ili tufe wooote ili wao warudi na wakae hapa Africa ambapo ndipo yalipo makao makuu ya Mungu na utajiri wote wa dunia.
Hata Mimi nilikuwa nikishangaa na kumshangaa Mungu muumba, kwanini makao makuu ya dini yawepo kwenye mataifa ambayo watu wake wanapigana mabomu kila siku kugombea ardhi? Kwanini makao makuu yawe kwenye mataifa yaliyowafanya watu watumwa, mataifa ambayo viongozi wa dini wanakula kondoo hata wadogo, wanaogombea mafuta kila siku, wanaokubali ushoga, waliojilockdown eti kwasababu ya corona na kufunga nyumba zote za ibada lakini walioathiliwa Sana na COVID-19?.
Sio Mimi tu bali hata wewe, sisi na wao wamethibitisha kupitia COVID-19 kuwa makao makuu ya Mungu na mataifa matakatifu yako wapi japa duniani.
Pia wamegundua kuwa huenda wao wanaabudu kitu kingine kabisa sio Mungu muumba.
Africa ina sababu ya kujiamini Sasa kuliko muda mwingine wowote katika historia yake kuwa wanae Mungu yule wa ukweli na kutumainiwa. Ambaye bila yeye tungeshamalizwa na wenzetu weupe kupitia HIV, Malaria, TB, vyakula, misaada, nk ili tufe wooote ili wao warudi na wakae hapa Africa ambapo ndipo yalipo makao makuu ya Mungu na utajiri wote wa dunia.