sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Waislam wengi ni waarabu, viongozi na makao makuu yapo uarabuni.
Wahindu wengu ni wahindi, Viongozi na makao makuu yapo India.
Ajabu ni kwamba wakristo wengi ni sisi waafrika lakini viongozi na makao makuu yapo ulaya.
Ulaya imeshakuwa kawaida makanisa yanakuwa matupu kabisa, si ajabu kusikia makanisa yamegeuzwa kuwa misikiti.
Hadi sasa Afrika ndio kinara wa ukristo, inakuaje viongozi wawe wazungu na makao makuu yawe huko ulaya, hii sio sawa.
Zama za wazungu kuwa viongozi wa dini ambayo wafuasi wake wengi ni wa afrika zimeshapita, ni vema kwa sasa wa afrika ndio wawe viongozi na makao makuu yahamie Afrika.
Sisi waafrika ndio wenye hii dini kwa sasa, yafaa wahusika wakuu tuwe sisi na makao makuu yahamie Africa.
Wahindu wengu ni wahindi, Viongozi na makao makuu yapo India.
Ajabu ni kwamba wakristo wengi ni sisi waafrika lakini viongozi na makao makuu yapo ulaya.
Ulaya imeshakuwa kawaida makanisa yanakuwa matupu kabisa, si ajabu kusikia makanisa yamegeuzwa kuwa misikiti.
Hadi sasa Afrika ndio kinara wa ukristo, inakuaje viongozi wawe wazungu na makao makuu yawe huko ulaya, hii sio sawa.
Zama za wazungu kuwa viongozi wa dini ambayo wafuasi wake wengi ni wa afrika zimeshapita, ni vema kwa sasa wa afrika ndio wawe viongozi na makao makuu yahamie Afrika.
Sisi waafrika ndio wenye hii dini kwa sasa, yafaa wahusika wakuu tuwe sisi na makao makuu yahamie Africa.