Wakati tunajiandaa na Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020: Tanzania yaongoza Afrika usambazaji umeme Vijijini

Huu mradi ulianziishwa kisheria mwaka 2005 na kufadhiriwa na benki ya dunia wale mnaopiga mapambio ya awamu hii ndio imefanya hivyo acheni kupotosha....
 
Wakati Lisu anabwatuka hayo anachomeka simu yake kwenye umeme uliowekwa na selikali!

Ametembea kwa gari mikoa zaidi ya 10 sababu mikoa hiyo ina lami kila kona,

Huyu tutamchinja kwenye box la kura

Safari hii lazima hawa wanasiasa wa aina ya Lissu wapate somo na fundisho kuu litakalo kuwa shamba darasa kwa kizazi hiki na kijacho cha Taifa hili la Tanzania. Baada ya uchaguzi huu na kuhakikishia, No one in this nation will think that a fool is honourable or say that a scoundrel is honest.
 
Kwa Maoni yangu Kisiasa Duniani kote Mgombea hashindi kwa sababu ameleta Maendeleo;; Ndio maana Ccm imekuwa inashinda huko nyuma; sio kwa sababu ya Maendeleo bali ikikuwa inatafuta kura
MTU anayejitambua. Hata ungenunua kivuko au meli: Lakini ukagusa uhuru na utu wake ; "umempoteza " !!
 

Acha kabisa hizo, usileteleze kuchimbuliwa kwa makaburi hapa. Hata Yesu alifufua wafu na hakutaka kuchimbua mifupa iliyo makaburini. Na kwasababu hiyo ilipomlazimu aliamua kuingia na kukaa kaburini siku tatu.
 
Uliwahi kuona mandela anabwatuka kuponda miundombinu iliyowekwa na makaburu? Kwamba haifai haina maana?

Yeye alikuwa anadai uhuru wa kiutawala kwa watu wazawa wa SA!
SA leo kuna vyama vingi kama ilivyo hapa kwetu wanafanya shughuli zao ili washike ikulu, na harakati zao si za ukombozi kama zile za enzi za Mandela!

Hapa kwetu unaponda miundombinu ambayo wewe mwenyewe unaitumia kila siku eti haina maana kwa taifa.
Ndio maana tunahitimisha kwamba Lisu na chadema ni mbumbumbu badala ya kunadi nini utafanya kwa taifa zaidi ya haya yaliyofanywa na ccm kwa miaka 60 nyie mnakuja mnaponda tu kwamba hizo ndege, barabara, umeme nk havina maana yeyote kwa watanzania.

Namna hii hata hapo chadema kuna watu wana akili kama kina Baregu unaona wamekaa kimya wanaona aibu kujichanganya na siasa za kihuni namna hiyo
 
Vitu vinaleta RAHA na si FURAHA. Vitu bila FURAHA ni bure tu kwani mtu anakosa AMANI ya moyo. Mfano, ukimfungia mtu katika nyumba nzuri na ukampa kila kitu cha raha (luxurious things) lakini umsiruhusu kutoka na kutembea mahali pengine, kuongea na watu na kuongea anachopenda pasipo kuvunja sheria nk, hawezi kuwa na furaha. Watu wanataka uhuru na maendeleo ya vitu ili wawe na RAHA na FURAHA pamoja. Mfano mkubwa ni jinsi Libya ilivyo kuwa wakati wa Gadaffi.
 
Samahani una elimu gani???? Unajua historia ya ukombozi wa Africa Kusini???? Na umeelewa vizuri point yangu????? CCM kweli mmeishiwa vijana
 
Cabo Verde 93%
Comoros 81%
Gabon 93%
Ghana 82.3%
Mauritius 98%
Seychelles 100%
South Africa 91.2%
 
Cabo Verde 93%
Comoros 81%
Gabon 93%
Ghana 82.3%
Mauritius 98%
Seychelles 100%
South Africa 91.2%
Sijajua unalenga nini ndugu yangu. Anyway, taarifa hapa ni kuwa tunaongoza kwa usambazaji wa umeme vijijini, sijui Kama hilo unalikataa
 
Kusema serikali haijafanya kitu kumbe ndo hayo matusi hua mnasema mnatukanwa? Hahahahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…