Wakati nikiwa siwataki tena Makocha Gomez na Hitimana, Wafuatao upesi sana Wafukuzwe na Wasimamishwe Simba SC

Mwijaku pia nisimkute pale klabuni kesho
Kwani pale club ya Simba kuna kiongozi huwa anakwenda pale?

Huyo Babla hajawahi hata siku moja kufika pale Msimbazi.

Huyo Mo Dewji nadhani alifika msimbazi mwaka 2003 baada ya Simba kuwatowa Zamaleki msafara ulitoka airport hadi msimbazi, tangu mwaka huo hakuna muhindi amewahi kwenda Msimbazi.
 
Kwa ufupi Simba imefungwa kutokana na uzembe wao wenyewe. Suala la kuhujumiwa hiyo ni gia tu yakutokea. Hakuna hujuma wala nini na sijui kwa nini Simba wanakubali luingia kwenye siasa za hovyo kiasi hiki. Suala la muhimu lilikuwa ni kujipanga upya na shirikisho na ligi na hii mechi ya Galaxy wangeitumia kama funzo kwao. Lakini wakiendelea kumtafuta mchawi aliyewahujumu ni wazi mpaka sasa hawajui walikosea wapi wakati hata watu wasio na utaalamu wa mpira wameona wazi makosa yalikuwa wapi. Simba bado ina wachezaji wazuri ni namna gani unamtumia mchezaji fulani kwenye mechi ipi na ni mfumo gani utumike kwenye mechi ipi ndio suala benchi la ufundi linatakiwa lijikite huko na sio hizo stori za uongo na kweli za kutaka kusingizia watu kuwa timu ilihujumiwa.

Narudia tena hakuna hujuma kwenye mechi ya jana. Kama kulikuwa na hujuma basi ni benchi la ufundi ndilo lilijihujumu lenyewe kwa kufanya mabadiliko ya hovyo kabisa kwa kuwatoa wachezaji wenye kaliba ya kushambulia na kukaba na kuingiza "attack minded plyers" kiasi Simba ikakosa uwiano wa kukaba na kushambulia. Na pia benchi la ufundi kuruhusu timu icheze mchezo wa wazi wakati tayari ina ongoza magoli 3 kwa ujumla badala ya kufunga hesabu na kupaki treni kama sio meli kabisa.
 
Nionavyo mimi ni kuwa Simba ililidhika sana na matokeo ya ugenini,na pia ilitakiwa Simba baada ya kutoka Botswana ingecheza japo mechi moja ya ligi hii ingewapa umakini sana ya hii mechi,yaani ni bora wangecheza mechi ya ligi wakafungwa ila wakapata fitness ya jana ya kucheza na waswana
 
Nionavyo mimi ni kuwa Simba ililidhika sana na matokeo ya ugenini,na pia ilitakiwa Simba baada ya kutoka Botswana ingecheza japo mechi moja ya ligi hii ingewapa umakini sana ya hii mechi,yaani ni bora wangecheza mechi ya ligi wakafungwa ila wakapata fitness ya jana ya kucheza na waswana
Kweli mkuu. Simba wamefungwa kiufundi sio kiuchawi wala kuuza mechi.
 
Kwa ufupi Simba imefungwa kutokana na uzembe wao wenyewe. Suala la kuhujumiwa hiyo ni gia tu yakutokea. Hakuna hujuma wala nini na sijui kwa nini Simba wanakubali luingia kwenye siasa za hovyo kiasi hiki. Suala la muhimu lilikuwa ni kujipanga upya na shirikisho na ligi na hii mechi ya Galaxy wangeitumia kama funzo kwao. Lakini wakiendelea kumtafuta mchawi aliyewahujumu ni wazi mpaka sasa hawajui walikosea wapi wakati hata watu wasio na utaalamu wa mpira wameona wazi makosa yalikuwa wapi. Simba bado ina wachezaji wazuri ni namna gani unamtumia mchezaji fulani kwenye mechi ipi na ni mfumo gani utumike kwenye mechi ipi ndio suala benchi la ufundi linatakiwa lijikite huko na sio hizo stori za uongo na kweli za kutaka kusingizia watu kuwa timu ilihujumiwa.

Narudia tena hakuna hujuma kwenye mechi ya jana. Kama kulikuwa na hujuma basi ni benchi la ufundi ndilo lilijihujumu lenyewe kwa kufanya mabadiliko ya hovyo kabisa kwa kuwatoa wachezaji wenye kaliba ya kushambulia na kukaba na kuingiza "attack minded plyers" kiasi Simba ikakosa uwiano wa kukaba na kushambulia. Na pia benchi la ufundi kuruhusu timu icheze mchezo wa wazi wakati tayari ina ongoza magoli 3 kwa ujumla badala ya kufunga hesabu na kupaki treni kama sio meli kabisa.
ELEWENI TU HUJUMA ILIKUWEPO HATA MAGORI N A MO WALIPEWA CHANCE YA KUZUIA WAKAPUUZA JANA WAKAISHIA KUJUTA NA TWEETS ZAO HALI NI TETE MNOOO
Screen Shot 2021-10-25 at 12.39.23.png
 
Kwa kilugha chetu kilembwe ni kisimi cha mwanamke,soma tena inaonekana hujaelewa chochote
Matusi ya nini...na mimi kilugha chenu hakinihusu.....muhimu ni kuwa mpambane na hali zenu msitafute mchawi nje ya club yenu...kelele nyiiiingi timu lenyewe mmesajili la kucheza ndondondo cup!
 
ELEWENI TU HUJUMA ILIKUWEPO HATA MAGORI N A MO WALIPEWA CHANCE YA KUZUIA WAKAPUUZA JANA WAKAISHIA KUJUTA NA TWEETS ZAO HALI NI TETE MNOOO
Screen Shot 2021-10-25 at 12.39.23.png
Bado naamini hakuna hujuma yoyote. Na hata kama hujuma ilifanyika basi hiyo hujuma ilikuwa ya hovyo na isingeweza kuaithiri Simba kuibuka kidedea. Boko kakosa goli mbili za wazi, Rally Bwalya kafunga moja kakosa moja ya wazi. Peter Banda kakosa nafasi tatu za wazi yeye na golikipa tena dakika za mwishoni mwishoni, Morison kakosa moja, Kanoute Kakosa moja, Kapombe kakosa moja, n.k.
 
Na zile tuzo za mchongo mlizopewa na Tff zina nuksi? Eti beki bora ni Mohamedi!!!!
Mchezaji bora eti ni John Bocco 😁😁

Golipicha bora ni Manyula 😁😁

Mfuga ndevu bora ni Morrison 😁😁

Thimba bhana!! Timu ya kawaiiida!! Kila siku ni kuingia tu uwanjani na matokeo yao mfukoni! Huwa hawataki kabisa kujifunza na kubadilika.
 
Mliambiwa kocha hana vyeti mkaona mnahujumiwa
Timu eti inaajiri kocha Ngumbalu ambaye kwenye mechi za Kimataifa zote anakaa jukwaani na mashabiki!! Hawa jamaa Rage aliwapendelea sana kuwaita Mbumbumbu!!

Maana walistahili kabisa kuitwa Ndezi!
 
Kwani pale club ya Simba kuna kiongozi huwa anakwenda pale?

Huyo Babla hajawahi hata siku moja kufika pale Msimbazi.

Huyo Mo Dewji nadhani alifika msimbazi mwaka 2003 baada ya Simba kuwatowa Zamaleki msafara ulitoka airport hadi msimbazi, tangu mwaka huo hakuna muhindi amewahi kwenda Msimbazi.
Eti Babla badala ya Barbara. Nut Wewe!
 
Mkuu nilisema washabiki wa Simba ni wanafiki ulikataa. Nakukumbusha tu kuwa wewe mwenyewe ulileta uzi humu ukasema hakuna kipa bora Africa mashariki kama Manula lakini cha ajabu leo unamkataa unasema bora Kakolanya.

Wewe Kichwa yako haina Akili,Inawezekana sababu ya Umri wako Mdogo
Jamaa kasema hao kuna Kitu wamehujumu,
Unaweza Kuwa Bora lakini ukahujumu Then ukihujumu inaondoa Credibility ya Ubora wako unaondoka tuu...
Sasa nini Ukikuwa huelewi
 
Simba imekuwa timu ya hovyo kuanzia kwenye management,CEO yeye anachojua ni kubana matumizi tu,amekosa mipango ya kudhibiti kambi ya timu,amevuruga utamaduni wa timu yetu,tunafungwa mechi zote kubwa kwa sababu ya ubishi wake.
Ameshauliwa mara nyingi kwenye mechi kubwa timu ikae kambini na ulinzi wa kambi uimalishwe,wachezaji wa timu wasipewe nafasi ya kurudi nyumbani muda wote wa kambi,na kambi iwe mafichoni ili kudhibiti hujuma,wachezaji wetu ni waswahili hawa hawajielewi wanaturubuniwa na wapinzani hata kwa ahadi ya kupewa pesa na vitu vingine, lakini CEO amekuwa mbishi na kujifanya yeye ni professional zaidi na pia amekuwa hataki wazee wetu na wataalamu wetu wa asili wapewe nafasi wafanye jambo lao maana mpira wa africa bila kujizatiti kwa mbinu zote utoboi!!

Matokeo ya ubishi wake ndio ameyaona sasa,mechi kubwa kuanzia ile ya utopolo, timu imekuwa inafanyia mazoezi bunju uwanja ambao hauna hata uzio,mashabiki wanajazana kuangalia mazoezi na mipango ya timu,na wachezaji wanakuwa huru tu,hawana udhibiti wowote matokeo yake tunagongwa tu kama walevi!!nakumbuka mechi ya simba na utopolo iliyofanyika kigoma baadhi ya viongozi wa bodi wakiongozwa na Simba wa yuda Mzee kaduguda,na Asha baraka walikataa kata kata mipango ya CEO wakagoma mpaka wakakabidhiwa timu waweke udhibiti wao kuanzia kambini na kweli isingekuwa wao uto walikuwa wanatuua tena.

Mechi ya ngao ya hisani CEO alishauliwa tena kuhusu kambi na udhibiti wake, akawa mbishi kweli kweli, matokeo yake tukayaona uto wakapenyeza mambo yao tukafa kimoja cha mapema,mpira una matokeo matatu ila mechi hii ya watswana Simba haikustaili kutolewa kwa namna yeyote ile,ubishi wa CEO na Magoli pamoja na mulam ng'ambi ndio umeleta aibu hii kwa taifa,tuliwashauli mapema tuingie kambini mafichoni maana kuna harufu ya hujuma,kuna kiongozi wa utopolo bwana senzo na watu wengine maadui wa Simba Said tuli, Mwenyekiti yule aliejiuzuru, na kiongozi mmoja wa benchi la ufundi,ambao wamekuwa na mawasiliano ya karibu na watu wa galaxy ambao walikuja hapa nchini siku moja baada ya Simba kutoka Botswana, kiongozi uyo wa benchi la ufundi akishirikiana na watu wa uto hasa senzo na mwanachama maslahi wa simba said Tully,kupiga simu kwa watu wa galaxy wakitaka wapewe kiasi fulani cha pesa ili kufanya hujuma,taarifa zote magoli na CEO walipewa ila wakazipuuzia kwa kusema tumeshapita kwakua tulishinda mechi ya uko kwao,ukweli hujuma zipo Simba.

Hata baada ya MO kutia mgomo kusaini mkataba na Azam TV baadhi ya wakurugenzi wa Azam wakishirikiana na kiongozi mmoja wa bodi ya ligi,walikutana mara kadhaa kupanga kuhujumu timu ya Simba ili ionekane timu ya kawaida tofauti na MO anavyojinasibu ili kumkomoa, mambo ni mengi mno na mara zote CEO amekuwa akishauliwa na wadau wafia timu ila amekuwa akipuuzia kwa kiburi chake tu.

Nafikili sasa akili itamkaa sawa,ataelewa soka la bongo limejaa utapeli na watu wapigaji tupu,wazee wa kuchukua muhamala,MO bahati nzuri ABC zote ameshazijua ndio maana aliona ni upuuzi kuwekeza kwa timu ambayo baadhi ya wanachama wakiongozwa na Tully Said,wakishirikiana na watu wa uto na kiongozi mmoja wa bodi ya ligi,kutengeneza mtandao wa hujuma ili timu ikwame kwa maslahi yao,mfadhili wa mpango huo ni mkwepa kodi maarufu nchini mwenye asili ya Yemen mwenye ushirikiano na mstaafu mmoja aliewahi kuwa namba moja nchini.

Nimekuelewa sana sana Mwamba....
Kama hizi Tuhuma Hujuma ni za Kweli!
Naomba MUNGU afanye Kazi yake,
Either kuoitia Mkono wa Serikali Au MUNGU mwenyewe....
Mkuu nina swali hapo,
Hivi Kwani hata kama CEO angekubali kuwaweka Kambi angewanyang’anya simu? Si bado wangewasiliana na wahunumu kwa Simu tuu hata Kama wapo Kambini?na Mzigo ukawekwa kwa Bank account?
 
Back
Top Bottom