zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,855
Dunia Ina maajabu mengi Ila Kama yupo mwenye kazi Ni Mwenyezi Mungu.
- Mgonjwa anaomba apone mapema.
- Muuza jeneza anaomba apate riziki kupitia mgonjwa alie hospitali.
- Daktari naye anaomba mgonjwa yule asipone mapema ili aendelee kulipa bill daktari apate riziki pia.
Wakulima wanalia ashushe mvua juu ya shamba dobi ndo anataka jua liwake aanike nguo.
Mwalimu anaomba wanafunzi wafaulu. Wanafunzi wao wanaomba wafeli wengi wao Mwalimu afukuzwe kazi kwa sababu hawalipendi somo.
- Mgonjwa anaomba apone mapema.
- Muuza jeneza anaomba apate riziki kupitia mgonjwa alie hospitali.
- Daktari naye anaomba mgonjwa yule asipone mapema ili aendelee kulipa bill daktari apate riziki pia.
Wakulima wanalia ashushe mvua juu ya shamba dobi ndo anataka jua liwake aanike nguo.
Mwalimu anaomba wanafunzi wafaulu. Wanafunzi wao wanaomba wafeli wengi wao Mwalimu afukuzwe kazi kwa sababu hawalipendi somo.

