4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,979
- 6,782
Wana jf heshima zenu zote nilishamkabidhi mungu bila kujali, dini, chama au umri.
Mheza kama waenda Tanga mjini ipo sehemu yaitwa TANGANYIKA kabla ya kufika MKANYAGENI, na kabla ya kufika BAGAMOYO, KILAPULA, PONGWE, MAWENI, KANGWE then kwa MINCHI to TANGA MJINI.
Sikuwahi jua chanzo cha jina TANGANYIKA, ila wenda pamebeba tafasiri kubwa kama sehemu ya Tanzania kuliko Chato, na jina tu lazima mashule wapeleke wanafunzi kujua historia ya sehemu husika,hivyo ni utalii tosha.
KWA nia njema Mh JPM tufanye Jambo muhim pale mfano
1. Ijengwe shule matata from form one to six
2. Ijengwe hospitali ya wilaya matata, maana Muheza haina hospitali ya wilaya tofauti na Tehule hospital
3. Wananchi wa pale Serikali toeni msahada wa kujengewa nyumba bora maana pale ni sehem ndogo sana na watu ni wachache
4. Bolesheni chuo cha utafiti pale mkanyageni maana kipo karibu na Tanganyika, na vyote mtakavyofanya hapo tumieni jina Tanganyika.
Mwisho, tafuta historia ya jina hili hapo maana patapata watalii wengi kwamba kabla ya kwenda AMBONI wataanzia hapo.
Chato na Tanganyika twende kwa pamoja
Mheza kama waenda Tanga mjini ipo sehemu yaitwa TANGANYIKA kabla ya kufika MKANYAGENI, na kabla ya kufika BAGAMOYO, KILAPULA, PONGWE, MAWENI, KANGWE then kwa MINCHI to TANGA MJINI.
Sikuwahi jua chanzo cha jina TANGANYIKA, ila wenda pamebeba tafasiri kubwa kama sehemu ya Tanzania kuliko Chato, na jina tu lazima mashule wapeleke wanafunzi kujua historia ya sehemu husika,hivyo ni utalii tosha.
KWA nia njema Mh JPM tufanye Jambo muhim pale mfano
1. Ijengwe shule matata from form one to six
2. Ijengwe hospitali ya wilaya matata, maana Muheza haina hospitali ya wilaya tofauti na Tehule hospital
3. Wananchi wa pale Serikali toeni msahada wa kujengewa nyumba bora maana pale ni sehem ndogo sana na watu ni wachache
4. Bolesheni chuo cha utafiti pale mkanyageni maana kipo karibu na Tanganyika, na vyote mtakavyofanya hapo tumieni jina Tanganyika.
Mwisho, tafuta historia ya jina hili hapo maana patapata watalii wengi kwamba kabla ya kwenda AMBONI wataanzia hapo.
Chato na Tanganyika twende kwa pamoja