Walimu nawashukuru kila mwaka, jana nimetoka kumpa big up Mama Bgoya mwalimu wangu wa kiingereza, ambaye kama mnaona najua chochote katika hii lugha, huyu mama alichangia.
She had to be good, she owned a publishing house and had access to a vast amount of material, and the history to go with it.
I benefited from the riches of "El Dorado".
I shall remain ever grateful.
They are going to stab you if you brag.
They are going to stab you if you drag.
They are going to stab you if you gag.
Brag, drag, gag, all in a bag
They are going to stab you bad.
mimi siwapendi wanaopenda kukosoa wenzao
yaani ukimiss hata herufi moja badala ya kuangalia point uliyoandika anajigeuza yeye mwalimu kingereza sijui kutafuta masifa et hapa ungeandika hivi na vile
khaaaaaaaaaa hatukatai kurekebisha kama mtu kakosea mrekebishe kisiitaarabu au waweza kumfata pm ili afanye editing huo ndio uungwana
Mkuu ulijihudhurisha nini kwenye uzinduzi huu: https://www.facebook.com/media/set/?set=a.607768679277453.1073741832.113723105348682&type=1
Niliusikia huu.
Mimi ningependa an autobiography / memoirs, hizo speeches tunazijua.
Ila wamefanya vizuri kuziweka pamoja, worth a browse. I can't say Mkapa is not a wonk.
Speaking of Mkapa katika thread ya wakali wa Kiingereza, Henry Kissinger alikuja bongo Ibrahim Kaduma akashindwa kuongea naye ung'eng'e. Kissinger anaomba kuoneshwa "water closet" Mzee Kaduma anabung'aa, Mkapa wakati huo yuko Daily News ndo aka step in kuokoa jahazi.
Kuna mshua mmoja wa serikalini alikuwa anasema Mkapa anajua ung'eng'e kuliko mtumishi mwingine yeyote wa serikali.
Labda si JF tu yenye hatari ya kutumia standards ndogo.
Kuna mpambano humu JF kati ya Kiranga na mwita25,kiranga alimshinda mwita kwa mbaali sana..nakumbuka ata Nyani ngabu na bi Faizafoxy walishinda kwakweli mentor wangu kiranga ni kijini ujuvi..
Kuna mhariri wa zamani wa Business Times la Tanzania, wanamwita Shakespeare, kama humjui mtafute mtapatana sana - halafu kuna huyu mwandishi jiniasi wa makala haya: "Mwalimu`s betrayal of Shakespeare: Institutional image of the working class" http://www.ippmedia.com/frontend/?l=58540
I wouldn't call a distinguished president "none". That - clever wordplay or not - would be rather demeaning to his character if not belittling his august office.
It is a piece alright.
Although I am not too sure if the puffery aesthetics in rhetoric does not obscure clarity, and the substance is not rather genuinely elitist. Almost a Pythagorean sect's secret mathematical notation with sub formulas buried in a Dan Brown like plot filled with Russian Matryoshka dolls like literary devices.
Take that from someone who has been accused of being elitist.
I will take it he took enough comfort in the fact that the masses cannot read his diction which defacates on their democratic right to involvement in the civic leadership of the nation.
Failure or not, I cannot fathom a sane person openly advocating Nyerere to have had focused on the elites rather than the masses.
And I am rather to the right economically, even as I am liberal socially. So I would not have an issue with a healthy dose of elitism, also known as "sampling the population forward", but this guy was almost claiming some divine right for the elites like some Han dynasty direct descendant eyeing the throne.
That makes two of us.
Moreover, one could argue, with the authority of a playwright laureate like George Bernard Shaw to back him, that almost half of English in itself, being a kaleidoscope of a potpourri of a smorgasbord of illogical amalgamation and constructs of mostly medieval if not ancient Indo-European dialects, is hardly impressive anyhow.
Swahili has a more elegant logic and is more phonetically aligned, therefore, more intuitive.
But I have yet to see a thread discussing who is the best Swahili writer at JF.