twende kazi
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,520
- 461
Salaamu wandugu,
Sio kila siku kupondana tu ,siku nyengine kusifiana na kutiana moyo ni bora.Kwa leo ningependa tuwape pongezi kwa kuwataja majina wazee wa umombo uliokwenda shule.Mimi ninaanza na jamaa mmoja anaitwa Kiranga.Huyu jamaa English yake imesimama sana.Hongera mkuu.Tuendelee.
Sio kila siku kupondana tu ,siku nyengine kusifiana na kutiana moyo ni bora.Kwa leo ningependa tuwape pongezi kwa kuwataja majina wazee wa umombo uliokwenda shule.Mimi ninaanza na jamaa mmoja anaitwa Kiranga.Huyu jamaa English yake imesimama sana.Hongera mkuu.Tuendelee.
Last edited by a moderator: