Wakali wa umombo JF...

Wakali wa umombo JF...

twende kazi

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
1,520
Reaction score
461
Salaamu wandugu,
Sio kila siku kupondana tu ,siku nyengine kusifiana na kutiana moyo ni bora.Kwa leo ningependa tuwape pongezi kwa kuwataja majina wazee wa umombo uliokwenda shule.Mimi ninaanza na jamaa mmoja anaitwa Kiranga.Huyu jamaa English yake imesimama sana.Hongera mkuu.Tuendelee.
 
Last edited by a moderator:
If Kiranga's English is anything impressive at JF, it could only be because JF standards are too low, not because Kiranga is that impressive in the high command of this strange tongue.

Thank you twende kazi , you are far too kind.
 
Last edited by a moderator:
mpaka hapo uko vibaya kwa kusema am, kama ulitaka kutumia kifupisho ungesema l'm
 
Wapo wenyewe aisee, mi najifunza kimombo na kibongo kutoka kwao. Watafute wengine kama companero na Gaijin siku nyingi sijawasikia.
 
Last edited by a moderator:
Kiranga 's english is not impressive to me at all!

That makes two of us.

Moreover, one could argue, with the authority of a playwright laureate like George Bernard Shaw to back him, that almost half of English in itself, being a kaleidoscope of a potpourri of a smorgasbord of illogical amalgamation and constructs of mostly medieval if not ancient Indo-European dialects, is hardly impressive anyhow.

Swahili has a more elegant logic and is more phonetically aligned, therefore, more intuitive.

But I have yet to see a thread discussing who is the best Swahili writer at JF.
 
If Kiranga's English is anything impressive at JF, it could only be because JF standards are too low, not because Kiranga is that impressive in the high command of this strange tongue.

Thank you twende kazi , you are far too kind.

Mmhhh na wewe nawee,yaani ndio unaongezea misifa tena.tumeshajukubaliiiiii

Hukuwahi nijibu lakini uliposomea
 
Last edited by a moderator:
Mmhhh na wewe nawee,yaani ndio unaongezea misifa tena.tumeshajukubaliiiiii

Hukuwahi nijibu lakini uliposomea

Mpaka shule za upili nimesoma shule za serikali Tanzania, zikiongezewa na jitihada binafsi iliyopaliliwa na malezi na mazingira ya kupenda elimu.

Unaweza kusoma sehemu za kutisha lakini kama huna jitihada binafsi na malezi/mazingira ya kupenda elimu haitasaidia sana.

Na unaweza kusoma chini ya mti, lakini ukiwa na jitihada binafsi na mazingira/ malezi ya kupenda elimu ukafanya mambo ya ajabu.
 
Mpaka shule za upili nimesoma shule za serikali Tanzania, zikiongezewa na jitihada binafsi iliyopaliliwa na malezi na mazingira ya kupenda elimu.

Unaweza kusoma sehemu za kutisha lakini kama huna jitihada binafsi na malezi/mazingira ya kupenda elimu haitasaidia sana.

Na unaweza kusoma chini ya mti, lakini ukiwa na jitihada binafsi na mazingira/ malezi ya kupenda elimu ukafanya mambo ya ajabu.

Basi ukumbukage kurudisha shukrani na kwa walimu wako upatapo nafasi,japo ka ipad......
 
Basi ukumbukage kurudisha shukrani na kwa walimu wako upatapo nafasi,japo ka ipad......

Walimu nawashukuru kila mwaka, jana nimetoka kumpa big up Mama Bgoya mwalimu wangu wa kiingereza, ambaye kama mnaona najua chochote katika hii lugha, huyu mama alichangia.

She had to be good, she owned a publishing house and had access to a vast amount of material, and the history to go with it.

I benefited from the riches of "El Dorado".

I shall remain ever grateful.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom