mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,305
- 13,640
Kwani huoni sura zilivyo washuka wanaweweseka tu hata kauli wanazotoa unajua tu vichwa havipo sawaKwahiyo comrade mtafanya kama Azory na Saanane?
Leo siku ya sita tangu nifike kuwasaka Mafias
Kwani huoni sura zilivyo washuka wanaweweseka tu hata kauli wanazotoa unajua tu vichwa havipo sawaKwahiyo comrade mtafanya kama Azory na Saanane?
Leo siku ya sita tangu nifike kuwasaka Mafias
Kumuuwa mtu kisa maoni yake kinzani na yako si sawa ata siku mmoja.Nikushauri comrade ebu achana na hizo kazi maana unabeba dhambi ila nitakukamata tu.Kwani huoni sura zilivyo washuka wanaweweseka tu hata kauli wanazotoa unajua tu vichwa havipo sawa
Natazama location yako nipo meter 10 pembeni yakoKumuuwa mtu kisa maoni yake kinzani na yako si sawa ata siku mmoja.Nikushauri comrade ebu achana na hizo kazi maana unabeba dhambi ila nitakukamata tu.
Leo ni siku ya sita tangu nianze kuwatafuta Mafias.
Mkuu hujui the law of agency!!?Uraisi una wakala!!!! Mtu haendi personally eeee hii Kali
Ile barua Lisu aliandika kuomba kuteuliwa Uraisi kazi yake ilikuwa Nini?
I will get you soon...Mafias lazma niwakamate tuNatazama location yako nipo meter 10 pembeni yako
Kwani sio nchi yake?Lisu kurudi bongo ni kutafuta uchokozi.
Vyote hivyo ni mambo ya kufikirika.Kwani sio nchi yake?
Kwa kifupi hakuna ahueni kwenye kilimo cha mazao yote. Kuna clip ya diwani wa momba ilikuwemo humu anaelezea jinsi maamuzi ya serikali ya awamu ya Tano yalivyoharibu biashara ya mahindi na kuongeza umaskini kwa wakulima.Nashauri Lissu akipitishwa aende kata kwa kata vijijini kupiga kampeni mjini atuachie sisi tutamaliza akifanya hivi atashinda asubuhi na mapema sana, aende aongelee hatima ya wakulima wa korosho, pamba, mkonge kahawa na wengine jinsi ya kuwakwamua njia ni nyembamba ila ni nyeupe asubuhi na mapema 25/10 nguvu ya umma inamtangaza.
Endelea kuota. Nguvu ya umma inaenda kuwaweka madarakani hapo October 2020. Hutaamini macho yako nakwambia.NASAPOTI UPINZANI ILA SIDHANI KAMA WAKO TAYARI KUONGOZA NCHI, LABDA MIAKA 20 IJAYO
MKUU HAYO NI MAMBO YA KUDANGANYANA KWENYE MITANDAO TU, CCM BADO WAKO IMARA MNO, BADO SAFARI NI NDEFU KWA UPINZANI HUUEndelea kuota. Nguvu ya umma inaenda kuwaweka madarakani hapo October 2020. Hutaamini macho yako nakwambia.
Hata CCM kuna watu wanaamini bora upinzani uchukue mwaka huu kuliko Uncle Magu apewe 5 nyingine.