Dah hapo ni pagumu kidogo ila naturally wanawake wengi duniani wanapenda kuwa submissive na wengine wanafantasize hali hii kabisa (hii inathibitishwa na kitendo cha kufanya mapenzi ambapo wanaume huwa sterling kwa 80%. Hali hii ndio inaendelea hata kwenye mambo mengine ya kawaida. Ila kwa mtazamo wangu mi naona kwamba,
- Ni vizuri kumwambia mtu wako what u feel and what you want ingawa usilazimishe unachokitaka kitokee kila wakati.
- Kuna baadhi ya wanaume wanataka kifanyike kile tu wanachotaka wao ingawa ukweli ni kwamba ukimwambia hata kama hatafanya wakati huo na no matta how much hard he is next time atafanya.
- So for me simply be free to say what you feel and what u want your mtu akufanyie
Jibu rahisi sana ndio/hapana
Ila waswahili ndo mlivyo
Kabisa kabisa mungu anizidishie amani, yani niko happy sana na wife....Huwezi kuamini mara nyingi sana mimi ndo balaa, yani lazima nimchokoze wife napenda nimuone kakasirika, lakini wapi wala hakasiriki ananiombea dua kwa mungu, anasema naomba mungu akutulize :cool2:
[TD="class: btext, colspan: 2"] [TD="class: orange2, width: 99%"] |
I will be honesty here, if you love someone you will never forget anything important for him or her yaani you dont even have to write it anywhere. Ntakuwa mkweli hapa mi nimewahi kupenda just once na huyo mtu niliyekuwa nampenda nakumbuka everything about her tena without writing it anywhere, i even remember the first day she said yes to me, the first day we kiss na kila kitu tena kwa tarehe, saa na mwaka ijekuwa birthday!
Kuna kupitiwa nakubali hasa mtu anapokuwa na shughuli nyingi but believe me kama anakupenda kwa dhati hatasahau kitu chochote muhimu kwako. Ila sasa wanaume wanakwepa sana gharama so wakati mwingine wanajitahidi kadri iwezekanavyo kuzikwepa halafu cha ajabu ni kwamba hukwepa gharama kwa watu wao wa kudumu acha vile vi one night stand huko wataspend balaa.
Just remind him kama unaona kweli kabanwa na kasahau kuna kupitiwa pia u know we are not psychics tujue this year kwenye birthday yako unataka nikufanyie nini!Tell me what you want me to do and no real man will say no.
Kwa wanaume wenzangu, najua sisi kama wanaume huwa hatujali sana vitu vidogo kama anniversary na birthdays but women do na hapo ndipo hujua kama unawajali ama la na believe me women love men who care for them, watch out kama akitokea mtu aka fake ku care umekwisha
Tuko bussy kutafuta chapaaaaaa mama AD....na tamaduni ya mtanzania na mwanamume pia vitu kama hivyo ni nadra sana kukumbuka sana saaaana utakumbuka mtoto lini anaenda shule ngoja nianze kutafuta ada.
Kabisa kabisa mungu anizidishie amani, yani niko happy sana na wife....Huwezi kuamini mara nyingi sana mimi ndo balaa, yani lazima nimchokoze wife napenda nimuone kakasirika, lakini wapi wala hakasiriki ananiombea dua kwa mungu, anasema naomba mungu akutulize :cool2:
Mimi hata niwe busy kutafuta chapaa siwezi kusahau hata niwe broke siwezi sahau...labda niwe jela ambako nitakuwa sijui leo tarehe ngapi..lolmmmmmhhhhhh
kwa hiyo unasema tamaduni za mtanzania hakuna kitu kusherehekea
siku muhimu katika maisha yetu au ??
You welcome AfroD,if i was of a little assistanceSina budi kukushukuru sana Musimo Jr
yaani hapo umeeleza mengi sana tena sana .. thanks again..
Sijajua dini yako lakini kwenye bible kuna huu mstari hebu ucheki << Proverbs 21:9 >>
[TD="class: btext, colspan: 2"]
[TD="class: orange2"][/TD]
New International Version (©1984) Better to live on a corner of the roof than share a house with a quarrelsome wife . Hapo ujue una kitu chema[/TD]
Nilale wapi it was all your fault..lol..hahahahahahah lol
Hivi siku ile ulilala kweli hahahah lol..??
Moja ni vitu ambavyo kiasilia hatukuwa navyo sisi kama waswahili na ndio maana ukiangalia sana utakuta vimeanza zaidi kwenye miaka ya 2000 kuja juu na waliofanya vikashika kasi ni wale tunaowaita celebrities wa kiswahili. sasa kwasababu mifumo ya maisha ya sisi waswahili imebadilika sana ndio maana tumejikuta tuna adopt vitu vingi including anniversaries na hasa birthdays.umesaidia sana tena sana ..
Hivi unadhani kufanya hivi vitu ni tamaduni au?
duhhhhhhhhh..
itabidi tutafute kitu kama alarm clock ..
ambayo itawakumbusha kila kitu maana dahhhh..
ohhhhh au unaweza kuweka reminder on your cellphone.. unaonaje hiyo??
wanajifanyishaga tu......
Asante sana, mimi ni Muislam, kuhusu maneno ya bible hapo ni kweli kabisa.Sijajua dini yako lakini kwenye bible kuna huu mstari hebu ucheki << Proverbs 21:9 >>
[TD="class: btext, colspan: 2"]
[TD="class: orange2"][/TD]
New International Version (©1984) Better to live on a corner of the roof than share a house with a quarrelsome wife . Hapo ujue una kitu chema[/TD]
Moja ni vitu ambavyo kiasilia hatukuwa navyo sisi kama waswahili na ndio maana ukiangalia sana utakuta vimeanza zaidi kwenye miaka ya 2000 kuja juu na waliofanya vikashika kasi ni wale tunaowaita celebrities wa kiswahili. sasa kwasababu mifumo ya maisha ya sisi waswahili imebadilika sana ndio maana tumejikuta tuna adopt vitu vingi including anniversaries na hasa birthdays.
Kwakuwa tumeamua kubadilika then tuendelee kuchukua muda ili tuweze ku adopt taratibu na baada ya muda we will be okay. Si unajua siku kama Valentines day siku hizi imeshika kasi sana tofauti na miaka mitano tu iliyopita, so it needs time kuweza ku catch up