Wakaka, Waume..

Tulivyokuwa wadogo tunakula kuku siku za sherehe. Na ninakumbuka mama alikuwa
anakumbuka sana siku zetu za kuzaliwa na tunakula kuku :) baba akirudi nyumbani hata
Hakumbuki kitu ...

Vitu kama Valentine's day kweli hizo ni zimeingia muda si mrefu ...

Sina uhakika sherehe za Anniversary zimeanza lini pia TZ..

Ila Birthday ilikuwepo kitambo ..
Hahaha!! Siku hiyo hata shule hauendi...
 
dah, afadhali kumbe siko peke yangu nisiyekumbuka mambo hayo!!kusema ukweli hata yeye asipokumbuka yangu huwa sijali kabisa(sijui labda ni makuzi yangu ya uswahilini) na kiukweli sioni umuhimu wake sana!akinikumbusah powa.ya kwangu mwenyewe nasahau.....huko kwingne si ndio kabisa!!mungu anisaidie sana!!!!

Hahahahahaha ..mmenichekesha sana leo
We si wa kwanza na ninadhani hutakuwa wa mwisho kisema unasahau hata yako mwenyewe ...

Anyway nadhani mambo haya si lazima kama hayana muhimu kwako na unauhakika mwenza wako hayataki ....

Lakini we unaonaje ukisherekea siku ulipo ungana na bibie? Hata mara moja tu. Unadhani italeta upungufu wowote maishani?
 
Tulivyokuwa wadogo tunakula kuku siku za sherehe. Na ninakumbuka mama alikuwa
anakumbuka sana siku zetu za kuzaliwa na tunakula kuku :) baba akirudi nyumbani hata
Hakumbuki kitu ...

Vitu kama Valentine's day kweli hizo ni zimeingia muda si mrefu ...

Sina uhakika sherehe za Anniversary zimeanza lini pia TZ..

Ila Birthday ilikuwepo kitambo ..
I know zilikuwepo na kwa wazazi bado zinaendelea at least kidogo (hasa kwa mijini, vijijini hakuna kitu kama hicho) ila sasa hizi za siku hizi ni za wapenzi na hapo ndipo tatizo linapoanzia.

Anniversaries zilikuwepo ila hasa za makanisa ndio walikuwa wanasherehekea anniversary pamoja na ndoa hizo nakumbuka kuzisikia
 
Hahaha!! Siku hiyo hata shule hauendi...

Unachukua sick leave ..Hahahahahaha lol.
Kila siku unatuanga kisamvu, matembere, mchicha sijui sukumawiki ...leo inachinjiwa kuku loooh usisahau wali hata huisi mawe yaliyo bakia unatafunaa tu..
 
Yaani niache kuwaza mahindi yangu shambani yaliyokosa mvua ni wazee hayo mambo kweli wanawake mna mambo
 
AD,

Please tueleze vizuri kilichokupata...tukupe pole!!!!!???

Kuna mazingira yanayofanya ukumbuke na uchukue hatua, ukumbuke na kuuchuna au usikumbuke kabisa!!

1. Kama ni mahusiano mapya au machanga... hapo lazima ukumbuke ili kum-impress mdau wako...Kumuonesha kuwa amejaza sehemu kubwa ya mambo yako..kichwa, moyo...etc, etc!!

2. Mahusiano ya uzeeni kama yetu...unaweza kukumbuka au hata kutokakumbuka...Madhara yake si makubwa kama No. 1 hapo juu!
3. Mawindo mapya...kukumbuka ni lazima na kujipendekeza ndiyo zaidi...

Mengine tutaendelea baadaye... ila pole sana mjukuu wangu....

Babu atazidi kuwakumbusha wajukuu (akina TF) wawe wanakumbuka haya mambo!!

Babu DC!!

Babu DC Shkamoo.
Ningependa kukuambia ondoa mashaka babu.
Mjuukuu wako ningependa tu kujua ni kwa nini tu .. mi imenitokea mara nyingi tu kwenye mahusiano ya kale na story nyingi za marafiki kulalamikia hii kitu nikaona si mbaya kuuliza ....

Anyway kwa hiyo mnatilia maanani kwa mahusiano mapya tu?? ..

Je kwa nini msitilie maanani kwenye mahusiano yaliyo kula chumvi?

Sababu niliwahi kusikia kadiri muda unaaenda ndo mahusiano bufifia ..Je unadhani vitu kama hivi vinasaidia kiweka sukari kidogo kwenye mahusiano...

Asante babu ..
 
I know zilikuwepo na kwa wazazi bado zinaendelea at least kidogo (hasa kwa mijini, vijijini hakuna kitu kama hicho) ila sasa hizi za siku hizi ni za wapenzi na hapo ndipo tatizo linapoanzia.

Anniversaries zilikuwepo ila hasa za makanisa ndio walikuwa wanasherehekea anniversary pamoja na ndoa hizo nakumbuka kuzisikia

Dahhh nimeingia Via mobile sasa ..
karohoo kaniuma siwezi kutoa LIKE kwenye
Posta Nzuri kama hii ..haina mbaya ntapitia kesho ..

Anyway kwa hiyo tukubaliane tu hivi vitu vina umuhimu fulani katika mahusiano ...
Vinaonekana vidogo lakini vinaweza kumpa mtu furaha ya ajabu ... na ni majukumu kwa jinsia zote mbili kutilia maanani unless wewe na mweza hamvi amini .. then hamna mbaya
 
Yaani niache kuwaza mahindi yangu shambani yaliyokosa mvua ni wazee hayo mambo kweli wanawake mna mambo
Hahahahahaha.
Sasa dahhhh umenichekesha kwa kweli ..
Sasa hata ukiwaza mahindi hiyo mvua kama hamna si hamna tu mkuu .. na hakuna cha kufanya mpaka mvua irudi ... unless una zile machine za kumwaga maji shambani kama watu wa dairy farming wanazotumia ..

Nway hii ni siku moja tu ..hivi kweli inaharibu kitu chochote maishani?
 
Hahahahahaha mi amenichekesha kwa kweli .. kwa kweli mna mambo juu ya mambo ..Lohhh

Dah. . . Nina uncle wangu pale moshi kdc anapenda nguruwe wake kuliko maelezo! Yaani asubuhi kabla hajanywa chai lazima nguruwe wale! Mtoto akitaka kutoka au hata mkewe sharti alishe nguruwe kwanza. Dah
 
Dah. . . Nina uncle wangu pale moshi kdc anapenda nguruwe wake kuliko maelezo! Yaani asubuhi kabla hajanywa chai lazima nguruwe wale! Mtoto akitaka kutoka au hata mkewe sharti alishe nguruwe kwanza. Dah

Dahhhh na hii mpya tena ..
 
Dahhh nimeingia Via mobile sasa ..
karohoo kaniuma siwezi kutoa LIKE kwenye
Posta Nzuri kama hii ..haina mbaya ntapitia kesho ..

Anyway kwa hiyo tukubaliane tu hivi vitu vina umuhimu fulani katika mahusiano ...
Vinaonekana vidogo lakini vinaweza kumpa mtu furaha ya ajabu ... na ni majukumu kwa jinsia zote mbili kutilia maanani unless wewe na mweza hamvi amini .. then hamna mbaya
Hahahahaaa pole utagonga like hata kesho usijali
Yeah mi nakubaliana na wewe kwamba vina umuhimu mkubwa sana hasa nyakati za sasa hivi kwasababu hatuwezi kuishi maisha ya miaka ya 1990 sasa. Kingine najua wanawake wanahitaji sana kujaliwa na watu wanaowapenda and i know how appreciative they are so ni jukumu la wanaume pia kujua hilo.
 
Hahahahaaa pole utagonga like hata kesho usijali
Yeah mi nakubaliana na wewe kwamba vina umuhimu mkubwa sana hasa nyakati za sasa hivi kwasababu hatuwezi kuishi maisha ya miaka ya 1990 sasa. Kingine najua wanawake wanahitaji sana kujaliwa na watu wanaowapenda and i know how appreciative they are so ni jukumu la wanaume pia kujua hilo.

Kwa ulichosema hapo juu ..na majibu yote niliyopata asanteeni sana ... Kesho ntawaletea
Changamoto nyingine .Good Bless .. :)
 
Kwani mimi huwa nasahau ya kwako ila tokea ulipomuweka Kimey kuwa lawyer wako ukaharibu kila kitu...ila nahisi kuna wale wanaosahau na kuna wale ambao wanaona haina umuhimu sanaa..
hahahaha
Afro mama, lini birthday yako nikukumbushe ?
 
Dahhhh yaani lawyer nilikuwa Ntakutafuta kipindi chote hiki mkuu sijui ulipotelea wapi ..

Anyway I hope u mzima kabisa ..

Birthday yangu angalia tu juu ya zile "divorce papers."

Mzima lakini?
hahaha kwani hatuwezi ku un do divorce ? namuona TF siku hizi kawa kijana mwema
sasa tufanye reconciliation si ndio?
 
hahaha kwani hatuwezi ku un do divorce ? namuona TF siku hizi kawa kijana mwema
sasa tufanye reconciliation si ndio?

Kimey, Kimey
we ni lawyer wangu naona unataka kuniruka
Na kumsaidia TF Mmmhhhhh .. something is not right here ..Hahahahahaha lol.

Umeona hiyo thread yake "crazy things we do for love".. lol

Anajitahidi lakini bado iasee ... acha tu niendelee kuwa na divorce yangu ...
 
Back
Top Bottom