Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,498
wedding anniversary, Birthdays, etc..
Naomba kuwa uliza wakaka na waume wa hapa Je ni kwamba
hamkumbuki siku kama hizo au hazina umuhimu sana kwenu..?
Na Je mnataka tuwe tunawakumbusha siku hizo zikikaribia au??
Samahani kwa thread fupi I hope mmenielewa..
Asanteni.
Kiukweli ishu kwangu sio gharama kwani si lazima kumwagika kwa saaaana kila mwaka na ukiwa na muelewa wala huhitaji vitu vikubwa saaana it just a symbol of appreciation.... TATIZO kwangu ni kunikumbusha i mean kukumbuka.......maadam hata b'day yangu huwa nakumbushwa the very day tena baada ya kuthibisha kuwa sina kumbu kumbu nayo wala sina mpango wowote (tena kamasijaingia kwenye mail nikakumbushwa na JF ndo kabisaaaaa sikumbuki ) walau ninaposahau ya kwake pia hashangai sana....Nafiki AD muwe mnatukumbusha....