nimeona huu uzi na mimi. and I'm a Medical personally, dawa za hospital zimekuwa not effectively kutibu hilo tatizo la homa ya Tumbo linalo pelekea mchafuko wa damuKuna mdau aliandika SoC04 - Typhoid, ugonjwa unaouzwa kama nyanya na hospital binafsi
Nenda how hospitali,ukicheza kidogo unapoteza uhaiJamani msaada mti gani unaweza kupambana na hawa wadudu, wanao sababisha homa ya tumbo ??
Kama kuna muhanga aliyetumia mti fulani ukamsaidia Tuomba taarifa.
Si kweli kwamba dawa za hospital hazitibu,bali huenda unarejea tabia zile zile baada ya Kutumia dawa.nimeona huu uzi na mimi. and I'm a Medical personally, dawa za hospital zimekuwa not effectively kutibu hilo tatizo la homa ya Tumbo linalo pelekea mchafuko wa damu
Soma hapo chini nimekupa muongozo doctormimi ni daktari 😁
Usahihi wa Diagnosis ya Typhoid , unategemea Mtaalam wa Maabara, Family and Social Hx , Prevalence ya ugonjwa kwenye Eneo Husika .nimeona huu uzi na mimi. and I'm a Medical personally, dawa za hospital zimekuwa not effectively kutibu hilo tatizo la homa ya Tumbo linalo pelekea mchafuko wa damu
Kuchunguza chanzo ni Muhimu, but nipo hapa kutafuta Tiba yake.Si kweli kwamba dawa za hospital hazitibu,bali huenda unarejea tabia zile zile baada ya Kutumia dawa.
Nimehangaika na typhoid kwa mwaka mzima,Kila nikipima ugonjwa umo,nikatafakari sana,Kila njia niliyohisi kuwa inaweza kuwa chanzo cha Mimi kuugua typhoid niliiepuka.lakini sikufanikiwa.
Nilikuja kugundua kuwa kachumbari ilikuwa chanzo kikuu cha Mimi kuugua,maana ninapenda sana kachumbari,hivyo nikawa napasha kwa maji moto Kila kiungo cha kachumbari nilichokuwa nakutumia,Toka muda huo hadi sasa sinaugua typhoid.
Chunguza ni mambo Gani huenda yakawa chanzo cha wewe kuugua typhoid
sure, tiba inaenda hadi week 2Usahihi wa Diagnosis ya Typhoid , unategemea Mtaalam wa Maabara, Family and Social Hx , Prevalence ya ugonjwa kwenye Eneo Husika .
Watu wengi wamekua wanaambiwa Wana Typhoid Kila wakipima, kumbe hamna Cha Typhoid wala nn.
Madawa kwenye makundi ya Macrolides, Fluoroquinolones , Cephalosporins , these drugs ni Best , muhimu kuzingatia Duration of Treatment.
Haiwezekani MTU ana Typhoid alafu umpe dawa za siku 7 ... Anaanzaje Kupona???.
Nimeshakutag Mkuusawa
Au kwenda toilet na kutumia mikono na maji kujisafisha, wakati huo huo husafishi mikono yako ipasavyo na mwisho wa siku unatumia mikono kuingiza chakula mdomoniSi kweli kwamba dawa za hospital hazitibu,bali huenda unarejea tabia zile zile baada ya Kutumia dawa.
Nimehangaika na typhoid kwa mwaka mzima,Kila nikipima ugonjwa umo,nikatafakari sana,Kila njia niliyohisi kuwa inaweza kuwa chanzo cha Mimi kuugua typhoid niliiepuka.lakini sikufanikiwa.
Nilikuja kugundua kuwa kachumbari ilikuwa chanzo kikuu cha Mimi kuugua,maana ninapenda sana kachumbari,hivyo nikawa napasha kwa maji moto Kila kiungo cha kachumbari nilichokuwa nakutumia,Toka muda huo hadi sasa sinaugua typhoid.
Chunguza ni mambo Gani huenda yakawa chanzo cha wewe kuugua typhoid