Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

Neno IN GOD WE TRUST katika dollar sio God the creator wanayemzungumzia, this is a point that must be noted! Neno GOD linasimama kuwakilisha GOLD OIL and DIMOND, Na hii ndio sababu ya Marekani kuwa ni nchi yenye Gold reserve nyingi kuliko nchi nyingi na Dimond pia, japokuwa hawana migodi active.

Dollar ndio inacontrol thamani ya Gold, oil na dimond.
 
Under certain circumstances ambazo viumbe hawa wawili walizilazimisha,malaika na binadamu hujamiiana,lakini ifahamike kuwa this is very abnormal and cursed stuff na kuna athari kubwa spiritual and physical kwa wote wawili lakini balaa kubwa ni hicho kinachotoka hapo!sijapata neno zuri la kiswahili kwa offspring hiyo zaidi ya neno JINI!binafsi nimewahi kuona majini at 100 meters from where i was standing kwa macho yangu usiku wa manane wakati wa tambiko milimani somewhere in this earth!uzoefu ule unanifanya nisipuuzie hata nukta ya mambo haya.kwenye biblia kuna kipande kimoja huwa kinapewa maana ndivyo sivyo.just read it and try to understand it literally wala usitie maono yako kichwani,MWANZO 6:1-8,"Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri,wakajitwalia wake wowote waliowachagua.BWANA akasema,Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele,kwa kuwa yeye naye ni nyama,basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.Nao Wanefili(nephilims)walikuwako duniani siku zile,tena,baada ya hayo,wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu,wakazaa nao wana,hao ndio waliokuwa watu hodari zamani,watu wenye sifa.BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote.BWANA akaghairi kwa kuwa amemfanya mwanadamu duniani,akahuzunika moyo.BWANA akasema,nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemwumba usoni pa nchi,mwanadamu na mnyama,na kitambaacho na ndege wa angani,kwa maana naghairi kwamba nimewafanya.Lakini Nuhu akapata neema machoni pa BWANA."hawa wanaitwa WANA WA MUNGU ndio waanzilishi wa cursed bloodline ambayo 13 illuminati families including Rockefellers zinatokea!marehemu sheikh Yahya aliposema kuwa kuna viongozi wakubwa duniani ambao si binadamu kama wanavyoonekana,wengi tuliona ni riwaya za kishirikina.marehemu Hugo Chavez siku moja baada ya Bush kuhutubia UN pale New York,alisimama pale pale kwenye kibweta ili na yeye ahutubie akasema,"nasikia harufu,shetani alikuwa kasimama hapa jana",tunadhani watu hawa huwa wanaongea mafumbo lakini sometimes huwa wanamaanisha wanachokisema kwa kuwa na ufahamu ambao watu wengi hawana.leo hii kila kitu kinakuwa centralized electronically!bank accounts,IDs,health cards,insurance cards,hata wafanyabiashara hapa bongo wanaambiwa kujiandaa na electronic machines zitakazotrack kila transaction wanayofanya na kutuma habari moja kwa moja taarifa zao TRA na Benki kuu.dunia nzima revolution hii inaendelea taratibu.kuna siku data zako zote zitaunganishwa ndani ya ID moja tu ambayo utaitumia kila mahali hata hospitali ID hiyo itasema hadi ugonjwa unaokusumbua.iko pale Massachusets institute of technology ikiwa developed kwa siri!nzuri eti eeh?mwisho wa kubeba lundo la vitambulisho au sio?well,upande huo mtamu kweli,turudi upande wa pili,hiyo ID ni microchip ndogo saana itakayowekwa kwenye paji la uso wako kwa kuingizwa na sindano na ina uwezo wa kusoma mwili wako kwa kutumia electrical signals kwenye nerves za fahamu,ikatoa habari zako nje ya mwili.what they are working on now ni kuifanya chip hiyo kuweza kuziamuru electrical signal za nerves zako kwa commands toka kwenye computer nje ya mwili,why?!ili iweje?nani mfadhili na mwanahisa mkubwa wa Massachusets institute of technology?unamjua?...ROCKEFELLER FOUNDATION!ni zaidi ya uwajuavyo!iwe ni dini,historia,sayansi,utamaduni vyote vinatoa habari ya uwepo wa interaction hii ya binadamu na majini physically!but only serious researcher ndio hujua mambo haya!yanafichwa kwa vile yana umuhimu mkubwa kwa wanaoyaficha na wanaofichwa!ukienda India ukakuta mhindi kasimamisha sanamu ya jitu kubwa anaiabudu,usimcheke,muulize historia ya imani yake,ukija africa ukakuta watu wanaabudu miti mikubwa usishangae,muulize kwa nini?ukienda mapango ya Amboni ukakuta michoro ya helikopta wakati walioichora waliishi kabla ndege haijagunduliwa usishangae,TAFAKARI!
Aseeee!.... Toka niijue JF sijawahi furahishwa na mdadavuo kama huu.....kumbe hii dunia ni zaidi tuijuavyo. Thanks much juve12.
 
Barbarosa nimekuona kule unazungumzia europian migration crisis na kushangaa jinsi wazungu wanavyopokea migrants kibao huku tukiwaita wabaguzi.
Hebu pitia jina la Richard von Coudenhoven Kalergi na ile plan yake,"The Kalergi plan".
Wazungu wanalalamika illuminati wana mpango wa kufuta race yao na nyinginezo kwa kuchanganya races zote pamoja na kupata one eurasian-negroid race and that is the masterplan behind middle east crisis and european migration.
 
Barbarosa pia kasome report moja ya UN,"Replacement migration;Is it a solution to declining and ageing population?"
Soma hiyo uone projections zao za miaka hiyo zinavyoendana exactly na idadi ya migrants inayotegemewa kuingia Ulaya by 2025 kutokana na hii crisis.
Is it a coicidence?!
 
He was one of the men who built America. Wapo pia akina Carnegie (aliyeanzisha steel industry), J P Morgan (banking), Vanderbilt (reli) na Henry Ford (magari)
Kweli kila taifa Lina mhimili wake aseee sikuweza kuzani kama taifa kubwa kama lile zinaweza kutegemea MTU mmoja tuuu au grupu la watu wachache
 
Kweli kila taifa Lina mhimili wake aseee sikuweza kuzani kama taifa kubwa kama lile zinaweza kutegemea MTU mmoja tuuu au grupu la watu wachache
Sio kwamba liliwategemea group la watu ila ni watu ambao walijaliwa vipaji vya kuona mbali...tafuta documentary zao hao wote zipo YouTube inaitwa the men who built America inaanzia part 1 hadi part 4 utajifunza mengi saana usipende kusimuliwa...kwa swala la utajiri kuna mnyama anaitwa rothchilds family hao ndo wali fund vita vingi duniani inasemekana ndo wanaomilik vitu vingi vya thaman duniani ikiwemo Us federal reserve ila huyo tafuta historia yake nao utaona ila hawa wanausishwa na new world order(NWO) inasemekana media kubwa nyingi duniani zipo chini yao..
 
Sio kwamba liliwategemea group la watu ila ni watu ambao walijaliwa vipaji vya kuona mbali...tafuta documentary zao hao wote zipo YouTube inaitwa the men who built America inaanzia part 1 hadi part 4 utajifunza mengi saana usipende kusimuliwa...kwa swala la utajiri kuna mnyama anaitwa rothchilds family hao ndo wali fund vita vingi duniani inasemekana ndo wanaomilik vitu vingi vya thaman duniani ikiwemo Us federal reserve ila huyo tafuta historia yake nao utaona ila hawa wanausishwa na new world order(NWO) inasemekana media kubwa nyingi duniani zipo chini yao..
Nashukuru kwa kuniongeza maarifa kichwani ngoja nichimbue material, hii dunia hatuijui kama ilivyo kabisa, then I'll back with feedback
 
Back
Top Bottom