Juma chief
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 2,757
- 2,351
Niliwahi kusoma kitabu cha secret terror.. Jamaa wana mikakati sana.. Hata kuizamisha meli ya titanic ilikuwa ni mpango wao..... Ili wabaki na utajiri wa fedha iliyokuwa ya jumuia ya matajiri wa ulaya ambao walibifadhi mzigo bank kuu ya marekani ambayo rockerfeller wana say kubwa ......