Wajue Mahasimu wa Januari Makamba

Umeme umekuwa ukikatika sana.
Asolve hilo kwanza.
Umeme tunakosa wote hata ambao hatuna issue nae.
Tafadhali mshauri atatue hili tatizo la umeme kukatika mara kwa mara.
Au tuambiwe sababu ili tujue kuna tatizo gani.

Swala la umeme kukatika aliepukiki hata wewe ukipewa ukurugenzi mkuu wa TANESCO! Swala la msingi tungesisitiza wajitahidi kuwapatia huduma ya umeme watu walioomba kuunganishiwa kwa haraka zaidi,wasikae muda mrefu kuunganishwa,changamoto kubwa ya Tanesco ni hiyo.

Umeme kukatika mara nyingi unasababishwa na itilafu au planned maintanance kwasasa mgao hakuna! Mgao means umeme unakatika kwa muda mrefu halafu ni kila siku ,sasa wakibadilisha nguzo kuweka za zege unataka wabadilishe bila kukata umeme? Kunguru akasababisha shoti transforma likabutuka hapo unataka umeme usikatike? Nguzo imeoza ikadondoka unataka umeme wasikate nyaya zikiwa chini ziwe na umeme?
 
Mageuzi makubwa yanayofanywa ndani ya TANESCO na Wizara ya Nishati yametengeneza makundi ya Chuki watu walizoea kujipa tender za ku supply nguzo, transforma, mita, vifaa, engine za kufua umem na mashine wamekuja juu kutaka Waziri Makamba aondoshwe wakihofia kupotezea tenda zao.

Ifahamike kuwa miaka mitano ilopita kipo kikundi kilihodhi tenda zote za mabilioni sasa wakati huu ambao mtu wao aliyekuwa Waziri hayupo kelele zimekuwa nyingi mitandaoni. Waziri wa sasa Januari Makamba ameendelea kuhimiza uwazi kwenye tender zote na pia kuhakikisha Tanesco na wizara wanapata supplier mwenye uwezo wa kutosha.

Kwa sasa kikundi kile cha walafi kimedhamiria kukwamisha serikali ya awamu ya Sita kwa kuchafua watu muhimu akiwemo Januari Makamba ili aondolewe na mtu wao apate nafasi tena waendelee kuneemeka.

Kiwanda chao cha nguzo sasa kinapumulia mashine wanawaza mabilioni waliyowekeza yatarudi vipi na sasa wameamua kupambana na Makamba.

Januari Makamba chapa kazi
Rais Samia anajua kazi yao
Waache walikosa tenda waendelee kukunanga mitandaoni
Niliwahi kukutana na vijana wa kitanzania wapambanaji ambao walikuwa wanafanya biashara ya kuuza nguzo. LAKINI walkua Wana kilio kwamba yupo mtu MMOJA tu ndo anaelipwa Kwa wakati na hicho kiwanda, huyo mtu ni kama kahodhi biashara ya nguzo, Sasa January Makamba fanya kazi, uwezo wako Sina shaka nao KABISA. Kuna watu walipiga maabilion Kwa kujipanmirad mikubwa wao wenyewe na watu wao wa karibu, halafu saizi wanachafua watu hapa, HIYO haikubaliki. Wacha nchi iongozwe kitaalam
 
Chini ya magufuli hata rushwa, ubadhirifu na uzembe vilisha.


Sheiza taarifa ya ukaguzi ya C.A.G umekuwa ukizifuatilia na kuzielewa?

Kabla ya kuandika hayo uloandika hebu tafakari kwanza na kisha uandike ukweli wa mambo.
 
January Makamba asiwe Waziri wa kwenye mitandao Tweeter ama Instagram yeye achape kazi watanzania tuone mabadiliko kwani miaka mitano ya mwendazake masuala ya kukatika umeme yaliisha sasa tunaona yanaanza. Ni si vizuri kiutawala kwa Waziri Makamba kulumbana na watendaji wake kwenye mitandao kwani hao watendaji ni wataalamu anaowategemea.
 
Asilimia 98 ya wachangiaji wanaonekana kutokubaliana eidha na tabia za Makamba nje ya utumishi wa Uma au ubadhilifu wa mali za Uma wakati akiwa katika utumishi wa Uma.

Hii iwe wito wa uamsho kwa Mhe.Rais kutambuwa yupo na waziri wa aina gani kwenye baraza lake.

Vinginevyo, jumba bovu litamwagukia kwa kukusudia kumlinda kwa maslahi yasiojulikana kama ni ya Uma au la!



Sent using Jamii Forums mobile app


Kwa hiyo yeye tu mawaziri wengine wote kwenye baraza wao ni waadilifu ?!

Ndio maana naona ni husuda tu zinazowasukuma kummaindi Januari.

Tatizo la kukosekana kwa huduma ya umeme kweli inapaswa kurekebishwa haraka huduma ipatikane muda wote.

Lakini kuanza kumtuhumu kwa hayo mambo mengine naona ni husuda zaidi zaidi sababu huko kijani aliyemsafi ni nani kwa mfano? Aanze kuinuia jiwe ampige.

Wengine sababu hawajapata opportunity lakini wakiipata watapiga vile vile na pengine kuzidi.

Turudi kwenye misingi ya uongozi bora na kushika maadili mema.
 
Swala la umeme kukatika aliepukiki hata wewe ukipewa ukurugenzi mkuu wa TANESCO! Swala la msingi tungesisitiza wajitahidi kuwapatia huduma ya umeme watu walioomba kuunganishiwa kwa haraka zaidi,wasikae muda mrefu kuunganishwa,changamoto kubwa ya Tanesco ni hiyo.

Umeme kukatika mara nyingi unasababishwa na itilafu au planned maintanance kwasasa mgao hakuna! Mgao means umeme unakatika kwa muda mrefu halafu ni kila siku ,sasa wakibadilisha nguzo kuweka za zege unataka wabadilishe bila kukata umeme? Kunguru akasababisha shoti transforma likabutuka hapo unataka umeme usikatike? Nguzo imeoza ikadondoka unataka umeme wasikate nyaya zikiwa chini ziwe na umeme?
Haujanielewa.
 
Kiwanda hicho cha nguzo kipo mafinga njia ya kwenda madibira hakika mmiliki alikuwa ni mtwasi wa mfalme aliepita,wametudhulumu sana hapo mafinga na mufindi kwa ujumla ukipeleka nguzo nzuri wanaziweka kwenye reject ila mradi watunyonye tu,wamefungua kingine barabara ya kwenda njombe wananunua nguzu sh elfu 20 hadi 15 kwa unyonyaji makamba kama ni kweli shikilia hapo hapo
Ma v8 yale yenye usajili wa T777 D..... mnatunyanyasa nayo kiwanda ni Qw.....A poles kapewa kusambaza nguzo nchi nzima kifisadi🙄🙄
 
Mleta mada wewe ni kaka yake na mchepuko wa Makamba?

Haya Shemeji endelea kutetea penzi la dada!
 
Mageuzi makubwa yanayofanywa ndani ya TANESCO na Wizara ya Nishati yametengeneza makundi ya Chuki watu walizoea kujipa tender za ku supply nguzo, transforma, mita, vifaa, engine za kufua umem na mashine wamekuja juu kutaka Waziri Makamba aondoshwe wakihofia kupotezea tenda zao.

Ifahamike kuwa miaka mitano ilopita kipo kikundi kilihodhi tenda zote za mabilioni sasa wakati huu ambao mtu wao aliyekuwa Waziri hayupo kelele zimekuwa nyingi mitandaoni. Waziri wa sasa Januari Makamba ameendelea kuhimiza uwazi kwenye tender zote na pia kuhakikisha Tanesco na wizara wanapata supplier mwenye uwezo wa kutosha.

Kwa sasa kikundi kile cha walafi kimedhamiria kukwamisha serikali ya awamu ya Sita kwa kuchafua watu muhimu akiwemo Januari Makamba ili aondolewe na mtu wao apate nafasi tena waendelee kuneemeka.

Kiwanda chao cha nguzo sasa kinapumulia mashine wanawaza mabilioni waliyowekeza yatarudi vipi na sasa wameamua kupambana na Makamba.

Januari Makamba chapa kazi
Rais Samia anajua kazi yao
Waache walikosa tenda waendelee kukunanga mitandaoni
Kama huu ni ukweli basi hicho kikundi hakipo juu ya sheria na serikali ipo. Their days are numbered!
 
Wewe
Mageuzi makubwa yanayofanywa ndani ya TANESCO na Wizara ya Nishati yametengeneza makundi ya Chuki watu walizoea kujipa tender za ku supply nguzo, transforma, mita, vifaa, engine za kufua umem na mashine wamekuja juu kutaka Waziri Makamba aondoshwe wakihofia kupotezea tenda zao.

Ifahamike kuwa miaka mitano ilopita kipo kikundi kilihodhi tenda zote za mabilioni sasa wakati huu ambao mtu wao aliyekuwa Waziri hayupo kelele zimekuwa nyingi mitandaoni. Waziri wa sasa Januari Makamba ameendelea kuhimiza uwazi kwenye tender zote na pia kuhakikisha Tanesco na wizara wanapata supplier mwenye uwezo wa kutosha.

Kwa sasa kikundi kile cha walafi kimedhamiria kukwamisha serikali ya awamu ya Sita kwa kuchafua watu muhimu akiwemo Januari Makamba ili aondolewe na mtu wao apate nafasi tena waendelee kuneemeka.

Kiwanda chao cha nguzo sasa kinapumulia mashine wanawaza mabilioni waliyowekeza yatarudi vipi na sasa wameamua kupambana na Makamba.

Januari Makamba chapa kazi
Rais Samia anajua kazi yao
Waache walikosa tenda waendelee kukunanga mitandaoni
Wewe ni mpumbavu aiisee ,harafu hata akili huna kabisa
 
Kiwanda hicho cha nguzo kipo mafinga njia ya kwenda madibira hakika mmiliki alikuwa ni mtwasi wa mfalme aliepita,wametudhulumu sana hapo mafinga na mufindi kwa ujumla ukipeleka nguzo nzuri wanaziweka kwenye reject ila mradi watunyonye tu,wamefungua kingine barabara ya kwenda njombe wananunua nguzu sh elfu 20 hadi 15 kwa unyonyaji makamba kama ni kweli shikilia hapo hapo
Ma v8 yale yenye usajili wa T777 D..... mnatunyanyasa nayo kiwanda ni Qw.....A poles kapewa kusambaza nguzo nchi nzima kifisadi🙄🙄
Tunajua vita hii ni kwa wale waliokosa maslahi hakuna uhalisia
 
Bro hasimu wa Makamba yupo ndani ya Makamba hayupo nje ya Makamba,unaowaita mahasimu wake wanajitokeza kutokana na weaknesses zake ana/atazozionyesha kwenye utendaji wake na huo udhaifu ndiyo hasimu wake mwenyewe.

Kama mbovu acha asemwe Kwa ubovu wake hakuna kuhurumiana hapa.
Ujinga mtupu
 
Mageuzi makubwa yanayofanywa ndani ya TANESCO na Wizara ya Nishati yametengeneza makundi ya Chuki
Januari Makamba chapa kazi
Rais Samia anajua kazi yao
Waache walikosa tenda waendelee kukunanga mitandaoni
Duh...!, kumbe...!
Moja ya sababu ni hii

P
 
Back
Top Bottom