Wajue Mahasimu wa Januari Makamba

Wajue Mahasimu wa Januari Makamba

Ngungenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2016
Posts
2,953
Reaction score
3,459
Mageuzi makubwa yanayofanywa ndani ya TANESCO na Wizara ya Nishati yametengeneza makundi ya Chuki watu walizoea kujipa tender za ku supply nguzo, transforma, mita, vifaa, engine za kufua umem na mashine wamekuja juu kutaka Waziri Makamba aondoshwe wakihofia kupotezea tenda zao.

Ifahamike kuwa miaka mitano ilopita kipo kikundi kilihodhi tenda zote za mabilioni sasa wakati huu ambao mtu wao aliyekuwa Waziri hayupo kelele zimekuwa nyingi mitandaoni. Waziri wa sasa Januari Makamba ameendelea kuhimiza uwazi kwenye tender zote na pia kuhakikisha Tanesco na wizara wanapata supplier mwenye uwezo wa kutosha.

Kwa sasa kikundi kile cha walafi kimedhamiria kukwamisha serikali ya awamu ya Sita kwa kuchafua watu muhimu akiwemo Januari Makamba ili aondolewe na mtu wao apate nafasi tena waendelee kuneemeka.

Kiwanda chao cha nguzo sasa kinapumulia mashine wanawaza mabilioni waliyowekeza yatarudi vipi na sasa wameamua kupambana na Makamba.

Januari Makamba chapa kazi
Rais Samia anajua kazi yao
Waache walikosa tenda waendelee kukunanga mitandaoni
 
Mageuzi makubwa yanayofanywa ndani ya TANESCO na Wizara ya Nishati yametengeneza makundi ya Chuki watu walizoea kujipa tender za ku supply nguzo, transforma, mita, vifaa, engine za kufua umem na mashine wamekuja juu kutaka Waziri Makamba aondoshwe wakihofia kupotezea tenda zao.

Ifahamike kuwa miaka mitano ilopita kipo kikundi kilihodhi tenda zote za mabilioni sasa wakati huu ambao mtu wao aliyekuwa Waziri hayupo kelele zimekuwa nyingi mitandaoni. Waziri wa sasa Januari Makamba ameendelea kuhimiza uwazi kwenye tender zote na pia kuhakikisha Tanesco na wizara wanapata supplier mwenye uwezo wa kutosha.

Kwa sasa kikundi kile cha walafi kimedhamiria kukwamisha serikali ya awamu ya Sita kwa kuchafua watu muhimu akiwemo Januari Makamba ili aondolewe na mtu wao apate nafasi tena waendelee kuneemeka.

Kiwanda chao cha nguzo sasa kinapumulia mashine wanawaza mabilioni waliyowekeza yatarudi vipi na sasa wameamua kupambana na Makamba.

Januari Makamba chapa kazi
Rais Samia anajua kazi yao
Waache walikosa tenda waendelee kukunanga mitandaoni
Acha uongo. Mumeshaona makamba watu wanamjua ndio kijana wa madeal mnageuza kibao. Kama vile mnavyohangaika kumchafua magufuli ndio mumeanza kumchafua Dr medard.
 
Mageuzi makubwa yanayofanywa ndani ya TANESCO na Wizara ya Nishati yametengeneza makundi ya Chuki watu walizoea kujipa tender za ku supply nguzo, transforma, mita, vifaa, engine za kufua umem na mashine wamekuja juu kutaka Waziri Makamba aondoshwe wakihofia kupotezea tenda zao.

Ifahamike kuwa miaka mitano ilopita kipo kikundi kilihodhi tenda zote za mabilioni sasa wakati huu ambao mtu wao aliyekuwa Waziri hayupo kelele zimekuwa nyingi mitandaoni. Waziri wa sasa Januari Makamba ameendelea kuhimiza uwazi kwenye tender zote na pia kuhakikisha Tanesco na wizara wanapata supplier mwenye uwezo wa kutosha.

Kwa sasa kikundi kile cha walafi kimedhamiria kukwamisha serikali ya awamu ya Sita kwa kuchafua watu muhimu akiwemo Januari Makamba ili aondolewe na mtu wao apate nafasi tena waendelee kuneemeka.

Kiwanda chao cha nguzo sasa kinapumulia mashine wanawaza mabilioni waliyowekeza yatarudi vipi na sasa wameamua kupambana na Makamba.

Januari Makamba chapa kazi
Rais Samia anajua kazi yao
Waache walikosa tenda waendelee kukunanga mitandaoni
We ni bwege na mpuuzi tu! Uwazi upi huo? Mbona mikataba ya gas anasainia gizani! Au hapo hakuna uwazi? Unajua mkataba wa LNG ww?ebu tuliza kikalio chako chini nchi imekamatwa na walafi. Na sasa utaanza kuisoma number shwain
 
Wew unamjua makamba jana ,makamba amekuwa kwnye serikali miaka na miaka na hajawahi kuwa mtu mpya
Wakati wote amekua akifanya kazi kwa weredi
Hadi alipoondolewa na Magu
Hata hivyo jamaa anachapa kazi hana ugomvi na mtu
 
Bro hasimu wa Makamba yupo ndani ya Makamba hayupo nje ya Makamba,unaowaita mahasimu wake wanajitokeza kutokana na weaknesses zake ana/atazozionyesha kwenye utendaji wake na huo udhaifu ndiyo hasimu wake mwenyewe.

Kama mbovu acha asemwe Kwa ubovu wake hakuna kuhurumiana hapa.
 
Makamba hamtamuweza... he is so smart upstairs....

CCM iko mikononi mwa maza..tulieni hamna namna nyie timu sukuma gang.. ni wakati wenu wa kusurubiwa...kutesa huwa ni kwa zamu.

Mwendazake kashaondoka bila kuaga...so tulieni kuhangaika na Makamba ni kujichosha tu..

Presidential material unahaingaika nayo..rubbish
 
200 (1).gif
 
Mkataba wa gas LNG uko ikulu nenda kisome
Mkataba wa bwawa la umeme uliona..??
We ni bwege na mpuuzi tu! Uwazi upi huo? Mbona mikataba ya gas anasainia gizani! Au hapo hakuna uwazi? Unajua mkataba wa LNG ww?ebu tuliza kikalio chako chini nchi imekamatwa na walafi. Na sasa utaanza kuisoma number shwain
 
Back
Top Bottom