Wajue Mahasimu wa Januari Makamba

Wajue Mahasimu wa Januari Makamba

Ni Waziri wakwanza aliyetumia akili nchi hii mifuko iliisha bila sisimizi kuumizwa
The man is incredible na nazan uwezo wake unawapa tabu sana
January naona unajipa promo,toka kidogo nje ya TZ ujifute tongo tongo uone jinsi mifuko ya plastik inavyotumika,halafu acha kabisa kuwalinganisha kalemani na makamba kiutendaji tofauti yao ni kubwa mno,pa1 na mapungufu yake kalemani hiyo wizara aliiweza kwa kuweka uzalendo mbele
 
Mageuzi makubwa yanayofanywa ndani ya TANESCO na Wizara ya Nishati yametengeneza makundi ya Chuki watu walizoea kujipa tender za ku supply nguzo, transforma, mita, vifaa, engine za kufua umem na mashine wamekuja juu kutaka Waziri Makamba aondoshwe wakihofia kupotezea tenda zao. Ifahamike kuwa miaka mitano ilopita kipo kikundi kilihodhi tenda zote za mabilioni sasa wakati huu ambao mtu wao aliyekuwa Waziri hayupo kelele zimekuwa nyingi mitandaoni. Waziri wa sasa Januari Makamba ameendelea kuhimiza uwazi kwenye tender zote na pia kuhakikisha Tanesco na wizara wanapata supplier mwenye uwezo wa kutosha. Kwa sasa kikundi kile cha walafi kimedhamiria kukwamisha serikali ya awamu ya Sita kwa kuchafua watu muhimu akiwemo Januari Makamba ili aondolewe na mtu wao apate nafasi tena waendelee kuneemeka. Kiwanda chao cha nguzo sasa kinapumulia mashine wanawaza mabilioni waliyowekeza yatarudi vipi na sasa wameamua kupambana na Makamba. Januari Makamba chapa kazi Rais Samia anajua kazi yao Waache walikosa tenda waendelee kukunanga mitandaoni
 
Makamba nilikua namuona kijana smart sana, ila kwa jinsi alivyo handle iaaue ya MD wa TPDC kimihemko nimemshusha daraja to zero (0). Hamna kitu pale.
 
Mageuzi makubwa yanayofanywa ndani ya TANESCO na Wizara ya Nishati yametengeneza makundi ya Chuki watu walizoea kujipa tender za ku supply nguzo, transforma, mita, vifaa, engine za kufua umem na mashine wamekuja juu kutaka Waziri Makamba aondoshwe wakihofia kupotezea tenda zao.

Ifahamike kuwa miaka mitano ilopita kipo kikundi kilihodhi tenda zote za mabilioni sasa wakati huu ambao mtu wao aliyekuwa Waziri hayupo kelele zimekuwa nyingi mitandaoni. Waziri wa sasa Januari Makamba ameendelea kuhimiza uwazi kwenye tender zote na pia kuhakikisha Tanesco na wizara wanapata supplier mwenye uwezo wa kutosha.

Kwa sasa kikundi kile cha walafi kimedhamiria kukwamisha serikali ya awamu ya Sita kwa kuchafua watu muhimu akiwemo Januari Makamba ili aondolewe na mtu wao apate nafasi tena waendelee kuneemeka.

Kiwanda chao cha nguzo sasa kinapumulia mashine wanawaza mabilioni waliyowekeza yatarudi vipi na sasa wameamua kupambana na Makamba.

Januari Makamba chapa kazi
Rais Samia anajua kazi yao
Waache walikosa tenda waendelee kukunanga mitandaoni
Wenzio huwa hawasifii ili mradi waonekane wanasifia mageuzi gani aliyoleta huyo mtu zaidi ya kero tu muda siyo mrefu kila mtaa yataanza mashindano ya majenereta
 
magu amechafuliwa au alijichafua mwenyewe?
Magufuli alikuwa shetani na MWONGO sana. Alitumia ujinga wa Watanzania maskini kwa kuwaita wanyonge na kwamba yeye ndiye MTETEZI wao. Kumbe lilikuwa JIZI na MUUAJI mkubwa. Rot in hell JPM
 
Hapo mkewe ametulia. Ila michepuko inashindana kuanzisha threads huku JF

Mageuzi makubwa yanayofanywa ndani ya TANESCO na Wizara ya Nishati yametengeneza makundi ya Chuki watu walizoea kujipa tender za ku supply nguzo, transforma, mita, vifaa, engine za kufua umem na mashine wamekuja juu kutaka Waziri Makamba aondoshwe wakihofia kupotezea tenda zao.

Ifahamike kuwa miaka mitano ilopita kipo kikundi kilihodhi tenda zote za mabilioni sasa wakati huu ambao mtu wao aliyekuwa Waziri hayupo kelele zimekuwa nyingi mitandaoni. Waziri wa sasa Januari Makamba ameendelea kuhimiza uwazi kwenye tender zote na pia kuhakikisha Tanesco na wizara wanapata supplier mwenye uwezo wa kutosha.

Kwa sasa kikundi kile cha walafi kimedhamiria kukwamisha serikali ya awamu ya Sita kwa kuchafua watu muhimu akiwemo Januari Makamba ili aondolewe na mtu wao apate nafasi tena waendelee kuneemeka.

Kiwanda chao cha nguzo sasa kinapumulia mashine wanawaza mabilioni waliyowekeza yatarudi vipi na sasa wameamua kupambana na Makamba.

Januari Makamba chapa kazi
Rais Samia anajua kazi yao
Waache walikosa tenda waendelee kukunanga mitandaoni
 
hayo yenu,
Sisi tunataka umeme wa REA uendelee kama kawaida.
gharama ziwe zile zile 27,000 huo mradi hela zake zilishatengwa ndo maana ulikuwa unatekelezeka.
Tunataka umeme wa uhakika.
Na kwanini ametuongopea kuhusu bwawa la nyerere kuwa hakuna winch zinazoweza kubeba tani 26 wakati zipo!?
anaandaa mazingira ya upigaji?
alafu hakuna anayemchukia makamba no matendo yake Tu.
Kwanini alimtukana magufuli?
Huyo hakutakiwa kurudi ipo siku atamtukana samia
 
Asilimia 98 ya wachangiaji wanaonekana kutokubaliana eidha na tabia za Makamba nje ya utumishi wa Uma au ubadhilifu wa mali za Uma wakati akiwa katika utumishi wa Uma.

Hii iwe wito wa uamsho kwa Mhe.Rais kutambuwa yupo na waziri wa aina gani kwenye baraza lake.

Vinginevyo, jumba bovu litamwagukia kwa kukusudia kumlinda kwa maslahi yasiojulikana kama ni ya Uma au la!



Sent using Jamii Forums mobile app
Na hizo asilimia karibia wote ni Wana ccm wenzake

Sent from my 5033X_EEA using JamiiForums mobile app
 
Smart upstairs halafu akaiba mitihani ya secondary hadi akafutiwa matokeo?!

Makamba zaidi ya kubebwa na jina la baba yake hana rekodi yoyote ya maana kwenye utendaji, na mpaka ameanza "kuota ndoto" za urais anajua atabebwa awekwe ikulu na bosi wake, NEC, na polisi, hakafu ajiite "Rais wa JMT"
Hao ndo wale wanaolipwa na makamba kuja kumtetea mitandaoni jinga kabisa
 
Mageuzi makubwa yanayofanywa ndani ya TANESCO na Wizara ya Nishati yametengeneza makundi ya Chuki watu walizoea kujipa tender za ku supply nguzo, transforma, mita, vifaa, engine za kufua umem na mashine wamekuja juu kutaka Waziri Makamba aondoshwe wakihofia kupotezea tenda zao.

Ifahamike kuwa miaka mitano ilopita kipo kikundi kilihodhi tenda zote za mabilioni sasa wakati huu ambao mtu wao aliyekuwa Waziri hayupo kelele zimekuwa nyingi mitandaoni. Waziri wa sasa Januari Makamba ameendelea kuhimiza uwazi kwenye tender zote na pia kuhakikisha Tanesco na wizara wanapata supplier mwenye uwezo wa kutosha.

Kwa sasa kikundi kile cha walafi kimedhamiria kukwamisha serikali ya awamu ya Sita kwa kuchafua watu muhimu akiwemo Januari Makamba ili aondolewe na mtu wao apate nafasi tena waendelee kuneemeka.

Kiwanda chao cha nguzo sasa kinapumulia mashine wanawaza mabilioni waliyowekeza yatarudi vipi na sasa wameamua kupambana na Makamba.

Januari Makamba chapa kazi
Rais Samia anajua kazi yao
Waache walikosa tenda waendelee kukunanga mitandaoni
January Makamba anapenda fedha na kampuni ambazo amejificha nyuma ya watu flani: kampuni haifuati utaratibu wa kampuni hailipi wafanyakazi nssf zao viongozi wengi wapo chini ya kickbacks za hii kampuni. Ofisi zake zipo usambara hoteli. Iwapo atafanya hii kazi kwa kutafuta wasambazaji wa nguzo wake, itamletea shida, ila iwapo atayafanya kwa maslahi ya nchi atasimama.
 
Samahan naomba nikutukane , ww mpumbavu huenda ndo January au chawa wake pumbavu ww.

Hauoni mgao wa umeme uliopo saiv nchini?

Huyo January kuna mtu asiyejua kwamba ndo wale wanamtandao na mafisadi hujifanya tanzania ni kama nyumba yao na kuona wao ndo wanapaswa kuongoza nchi hii

Takataka ww
 
Umeme umekuwa ukikatika sana.
Asolve hilo kwanza.
Umeme tunakosa wote hata ambao hatuna issue nae.
Tafadhali mshauri atatue hili tatizo la umeme kukatika mara kwa mara.
Au tuambiwe sababu ili tujue kuna tatizo gani.
 
Umeme umekuwa ukikatika sana.
Asolve hilo kwanza.
Umeme tunakosa wote hata ambao hatuna issue nae.
Tafadhali mshauri atatue hili tatizo la umeme kukatika mara kwa mara.
Au tuambiwe sababu ili tujue kuna tatizo gani.
Hyo wizara yake ni ngumu maana ni wizara inayoonekana umeme ukikatika hata mtoto mdogo anajua kuwa umeme umekatika.
 
Makamba hamtamuweza... he is so smart upstairs....

CCM iko mikononi mwa maza..tulieni hamna namna nyie timu sukuma gang.. ni wakati wenu wa kusurubiwa...kutesa huwa ni kwa zamu.

Mwendazake kashaondoka bila kuaga...so tulieni kuhangaika na Makamba ni kujichosha tu..

Presidential material unahaingaika nayo..rubbish
Sukuma Gang wakae kwa kutulia sindano ziwaingie!!
 
Back
Top Bottom