RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,347
- 2,957
Huwa na shangaa sana napokutana na watu wakimsifia mtu anayeongea kiingereza na kumheshimu kisha kumdharau asiyejua kuongea hiyo lugha.
Wanashindwa kuelewa kwamba kiingereza ni lugha tu kama lugha nyingine japo ni international language kama kiswahili tu africa mashariki. Kwa utafiti wangu nimegundua wengi wanaoamini ivyo ni hawajitambui pia wengi wao hawaijui iyo lugha.
Wanashindwa kuelewa kwamba kiingereza ni lugha tu kama lugha nyingine japo ni international language kama kiswahili tu africa mashariki. Kwa utafiti wangu nimegundua wengi wanaoamini ivyo ni hawajitambui pia wengi wao hawaijui iyo lugha.