dah! mie hata sina hamu...
walishanzoesha vibaya...🙁
Confirmed this night?????
utupie na hapa pm shemeji
mkuu sasa ile mishe yetu ya kcmc vp?
Vipo bwana ila ukiwa ovyo unaingia kwa mabundi kama alternative
bora nikomae na my bullsh1t tigo tu maana jero unajiachia mpaka basi..
Njoo huku kwa Paje buku 10 tu kwa mwezg unlimitete download!
Njoo huku kwa Paje buku 10 tu kwa mwezg unlimitete download!
Mie kwa kuanzia ikimalizika bando yangu ya Bomba30 naitelekeza modem ya Voda kama nilivoitelekeza modem ya Sasatele. Nitachagua kati ya bando za Airtel au tIGO naskia wanayo bando ya unlimited kwa 25 K, maisha yataendelea kama kawa/
Muhamie Airtel..
Ni unltd hii mkuu?
Inafaa kwa kusurf tu maana ukimaliza zile MB 1oo za kupakua ndo basi tena unakuwa mwendo wa JF,FB,na web zingine
MB 100?! Tumekwisha.
Modem yangu ya voda ishapotea na wajanja night offer!
Mbona bado ipo! Acha uvivu wa kuperuzi, usikariri siku zote> Bofya *149*01# kisha chagua na. 6 kwenye menu hiyo :Internet & BB; Kisha bofya namba 1: Wajanja Night Offer.
mkuu emu jaribu kubofya iyo namb moja
Wameitoa aise...ukibonyeza wanakuletea ujumbe....ila possibly itarud kivingine tujipe moyo...who knows
OMG.... wewe ni wa wapi kaka?
Niliitumia siku ya alhamisi kwa mara ya mwisho. Na kwa sababu kwenye menu ingali inaonekana nikajua ingalipo. Hapo sasa, tuliochakachua modem za Airtel inabidi turudi kule kule. Pole sana, samahani sana kwa usumbufu.