Joeli
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 4,941
- 3,414
ipo kama kawa we piga *149*01 then chagua number sita utaiona mi ndo natumia hapa
unatumia mtandao upi
ipo kama kawa we piga *149*01 then chagua number sita utaiona mi ndo natumia hapa
mshkaji ushakuwa mkubwa sasa. punguza vurugu.Kuna mtu kanyea kambi maana sibure Mabundi 9t kupigwa kufuri gafla.
Hapo sasa watu watajazana kwa Paje munjy1 na huyu mupya Unlimited Internet @ 10,000 call 0753932250 maana cha kubundi kilikuwa kinawapunguzia mvuto.
Sitoshangaa kusikia Member humu anakamuliwa hadi 20,000 coz mtaka cha mvunguni sharti alaliwe na mwenye kitanda ati
Krapka Davinooooooo kaka ntakucheck chemba tutete dah...!!!mshkaji ushakuwa mkubwa sasa. punguza vurugu.
unaleta makelele yale yale uloleta kwenye megaboksi hadi ikafungwa.
krapka davinooooooooooooooo
DEVUQUARTER-DEVUKOTA na Shaffin Simbamwene hivi nyie watu nyie. ila mnajuana wenyewe.
Faulo wapi we mwana we?Jamaa kazidi kucheza Faulo kaka mbona una mkawiza ebu mpe red card kamanda
du rip wajanja siwezi sahau hii kitu imenitoa mbali
mara ya kwanza windows 8 imeingia...niliishusha kwa 200 na kwa a single dei na ilikuwa 4.7gb
lkn leo hii ni kikwazo kwangu sababu unlimited yangu ilipokuwa ikifika muda wa mabundi nazima computer na lala sababu huku kwetu mabundi wengi
miss you ma favourite service
We endelea kufanya vurugu ila ujue "Rada ya mwana ufito"Faulo wapi we mwana we?
Nyie ndiyo wanga wenyewe.du RIP wajanja siwezi sahau hii kitu imenitoa mbali
Mara ya kwanza Windows 8 imeingia...niliishusha kwa 200 na kwa a single dei na ilikuwa 4.7GB
Lkn leo hii ni kikwazo kwangu sababu UNLIMITED yangu ilipokuwa ikifika muda wa mabundi nazima computer na lala sababu huku kwetu mabundi wengi
Miss you ma favourite service
Aisee sasa ntafanyaje mimi latest movies na games ntazipata vipi mlala hoi kama mimi bando la 20000 ..siwezi
basi tena ntabidi kununua line 9 za airtel ...
Nyie ndiyo wanga wenyewe.
NIMEPOKEA HII SMS TOKA KWA WADAU MBALIMBALI
Nimesikitishwa sana na kampuni ya vodocom kwani wameondoa rasmi huduma yao ya "wajanja night ofa" ya 200 tu. Sasa sijui sisi maskini tukimbilie wap? Tayari ombwe la UPDATES za nguvu linaonekana kuchukua nafasi yake kwa wana intanet wote, hali ya kufubaha kitaarifa litatukumba wengi sana, Kila muhusika ajitahidi kutoa maoni yake kupitia huduma kwa wateja kuwajuza kuwa hicho kitendo si kizuri, mimi tayari.Tuwachane ktk page yao ya fb na twitter. forward kwa wengine