wajanja night has been ended!!

wajanja night has been ended!!

Kuna mtu kanyea kambi maana sibure Mabundi 9t kupigwa kufuri gafla.

Hapo sasa watu watajazana kwa Paje munjy1 na huyu mupya Unlimited Internet @ 10,000 call 0753932250 maana cha kubundi kilikuwa kinawapunguzia mvuto.
Sitoshangaa kusikia Member humu anakamuliwa hadi 20,000 coz mtaka cha mvunguni sharti alaliwe na mwenye kitanda ati
mshkaji ushakuwa mkubwa sasa. punguza vurugu.
unaleta makelele yale yale uloleta kwenye megaboksi hadi ikafungwa.
krapka davinooooooooooooooo
 
du RIP wajanja siwezi sahau hii kitu imenitoa mbali
Mara ya kwanza Windows 8 imeingia...niliishusha kwa 200 na kwa a single dei na ilikuwa 4.7GB
Lkn leo hii ni kikwazo kwangu sababu UNLIMITED yangu ilipokuwa ikifika muda wa mabundi nazima computer na lala sababu huku kwetu mabundi wengi

Miss you ma favourite service
 
du rip wajanja siwezi sahau hii kitu imenitoa mbali
mara ya kwanza windows 8 imeingia...niliishusha kwa 200 na kwa a single dei na ilikuwa 4.7gb
lkn leo hii ni kikwazo kwangu sababu unlimited yangu ilipokuwa ikifika muda wa mabundi nazima computer na lala sababu huku kwetu mabundi wengi

miss you ma favourite service

nilijua tu !!!
Wenzio wanalio wewe unacheza ngoma
 
kwa kweli tumeumbuka yaani jana nilikuwa naisoma ile sms mara mbilimbili...but mtu mmoja akifa mwingine anazaliwa.
 
du RIP wajanja siwezi sahau hii kitu imenitoa mbali
Mara ya kwanza Windows 8 imeingia...niliishusha kwa 200 na kwa a single dei na ilikuwa 4.7GB
Lkn leo hii ni kikwazo kwangu sababu UNLIMITED yangu ilipokuwa ikifika muda wa mabundi nazima computer na lala sababu huku kwetu mabundi wengi

Miss you ma favourite service
Nyie ndiyo wanga wenyewe.
 
Dah.. Tayariii

avatar84181_5.gif
 
Aisee sasa ntafanyaje mimi latest movies na games ntazipata vipi mlala hoi kama mimi bando la 20000 ..siwezi

basi tena ntabidi kununua line 9 za airtel ...

Sawa na kusitisha vidonge vya ARV! Haki ya nani..!
 
mi sijui kama imesitishwa maana jana tu nimekamua, ila kwangu huaga siezi kamua zaidi ya 2.4 G per night sijui kwanini. hata hivo huduma ya Voda bado nimbovu sana na net inakata kama aina akili nzuri..ni basi tu shida inatufanya tufanye mambo ya ajabu na kushangilia hata ukipata 200 kbps.
 
Si amini kabisa kweli voda mmetuacha kwenye hali ngumu jameni tafadhali.tuokoeni tena
 
NIMEPOKEA HII SMS TOKA KWA WADAU MBALIMBALI
Nimesikitishwa sana na kampuni ya vodocom kwani wameondoa rasmi huduma yao ya "wajanja night ofa" ya 200 tu. Sasa sijui sisi maskini tukimbilie wap? Tayari ombwe la UPDATES za nguvu linaonekana kuchukua nafasi yake kwa wana intanet wote, hali ya kufubaha kitaarifa litatukumba wengi sana, Kila muhusika ajitahidi kutoa maoni yake kupitia huduma kwa wateja kuwajuza kuwa hicho kitendo si kizuri, mimi tayari.Tuwachane ktk page yao ya fb na twitter. forward kwa wengine
 
NIMEPOKEA HII SMS TOKA KWA WADAU MBALIMBALI
Nimesikitishwa sana na kampuni ya vodocom kwani wameondoa rasmi huduma yao ya "wajanja night ofa" ya 200 tu. Sasa sijui sisi maskini tukimbilie wap? Tayari ombwe la UPDATES za nguvu linaonekana kuchukua nafasi yake kwa wana intanet wote, hali ya kufubaha kitaarifa litatukumba wengi sana, Kila muhusika ajitahidi kutoa maoni yake kupitia huduma kwa wateja kuwajuza kuwa hicho kitendo si kizuri, mimi tayari.Tuwachane ktk page yao ya fb na twitter. forward kwa wengine

Kaka hatujaingia mkataba nao ni offer tu so kuna vigezo na masharti ya kuzingatiwa katika mambo hayo hivyo hakuna wa kuwatishia nyau.
 
Back
Top Bottom