wajanja night has been ended!!

Aisee sasa ntafanyaje mimi latest movies na games ntazipata vipi mlala hoi kama mimi bando la 20000 ..siwezi

basi tena ntabidi kununua line 9 za airtel ...

Njoo huku kwa Paje buku 10 tu kwa mwezg unlimitete download!
 
Last edited by a moderator:
Aisee sasa ntafanyaje mimi latest movies na games ntazipata vipi mlala hoi kama mimi bando la 20000 ..siwezi

basi tena ntabidi kununua line 9 za airtel ...

Njoo huku kwa Paje buku 10 tu kwa mwezg unlimitete download!
 
Last edited by a moderator:
Mie kwa kuanzia ikimalizika bando yangu ya Bomba30 naitelekeza modem ya Voda kama nilivoitelekeza modem ya Sasatele. Nitachagua kati ya bando za Airtel au tIGO naskia wanayo bando ya unlimited kwa 25 K, maisha yataendelea kama kawa/
 
oy wajameni, wale wa kubundika kijanja ndio mwisho wetu... Wamefuta bhana ile offer yao. Yaani kushney kabisa. Nimeiangalia ile msg yao mara mbili-mbili ila naona hawajakosea. Wameamua kuifutilia mbali....doh!

Mbona bado ipo! Acha uvivu wa kuperuzi, usikariri siku zote> Bofya *149*01# kisha chagua na. 6 kwenye menu hiyo :Internet & BB; Kisha bofya namba 1: Wajanja Night Offer.
 

Mbona bado ipo! Acha uvivu wa kuperuzi, usikariri siku zote> Bofya *149*01# kisha chagua na. 6 kwenye menu hiyo :Internet & BB; Kisha bofya namba 1: Wajanja Night Offer.

mkuu emu jaribu kubofya iyo namb moja
 

Mbona bado ipo! Acha uvivu wa kuperuzi, usikariri siku zote> Bofya *149*01# kisha chagua na. 6 kwenye menu hiyo :Internet & BB; Kisha bofya namba 1: Wajanja Night Offer.

Wameitoa aise...ukibonyeza wanakuletea ujumbe....ila possibly itarud kivingine tujipe moyo...who knows
 

Mbona bado ipo! Acha uvivu wa kuperuzi, usikariri siku zote> Bofya *149*01# kisha chagua na. 6 kwenye menu hiyo :Internet & BB; Kisha bofya namba 1: Wajanja Night Offer.
OMG.... wewe ni wa wapi kaka?
 
Back
Top Bottom