Katoto kadhuri
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 759
- 327
- Thread starter
- #81
Mekaa tyUnafanya nini huko bafuni mpaka kupelekea kuridhika..?
Mekaa tyUnafanya nini huko bafuni mpaka kupelekea kuridhika..?
Hiyo ni mawaz yakoBiashara ni matangazo na tangazo lako lina ubunifu wa hali ya juu.
Ngoja tusogee pm
Ukuje pm tukupe njia ya kuondoa mawazoHiyo ni mawaz yako
Pole mpenzi,kuachwa au kuachana na umpendae we we sio wakwanza,Moyo unauma sana kwavile hauna mifupa,Fanya vile vitu roho inapenda mfano kuangalia move, kusikiliza mziki,kwenda kwenye michezo,ama kusoma novel vitakusaidia sana kukutoa hapo,Unaweza bila yeye na ukionyesha kuwa bado maisha yanaendelea na raha zako,Ataona wivu juu yako
Nipe ty hapahpUkuje pm tukupe njia ya kuondoa mawazo
Nifanyj?fany hvyo mtoto mzuri nakuja pm
Mmmhtango
MmmhACHANA NAO NJOO PM TUYAJENGE
Saf tybahari
Poleee sana mrembo ukiamka unistue tufarijiane mremboYangu boy wangu aniache nimekuwa mtu wa hasira yaani unaweza nisemesha vizuri tu lakini nikakujibu vibaya
Nashinda tu nimelala nikichoka kulala naingia bafuni nakaa huko wee natoka nimeridhika.
Imefikia hatua hata sielewi kwakweli maana hapo nyuma sikuaga hivi. Yawezekana ni upweke tu unasumbua.
Wanaume wa jf nao wamejaa kejeli hata kufarijiana awajua yaani kuna mmoja yeye yupo yupo tu ata kuongea hajui.
Simply jiweke busy. Una hoby,una kitu unachopenda kufanya ndio muda muafaka wa kufanya.Yangu boy wangu aniache nimekuwa mtu wa hasira yaani unaweza nisemesha vizuri tu lakini nikakujibu vibaya
Nashinda tu nimelala nikichoka kulala naingia bafuni nakaa huko wee natoka nimeridhika.
Imefikia hatua hata sielewi kwakweli maana hapo nyuma sikuaga hivi. Yawezekana ni upweke tu unasumbua.
Wanaume wa jf nao wamejaa kejeli hata kufarijiana awajua yaani kuna mmoja yeye yupo yupo tu ata kuongea hajui.




endelea tu mkuu kujilidhisha.HahahahahahaaaHuko bafuni unaingia na nin mkuu?