Wajameni kuna kuoga na kujiswafi

Wajameni kuna kuoga na kujiswafi

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,651
Reaction score
860,935
Watu wengi wanafikiri kuoga tu inatosha, na ndio maana humu jamvini hutokea kesi za watu kuachana na wapenzi wao kwasababu ya kunuka jasho kikwapa au kuwa na kaharufu fulani kabaya ambako hakatoki.

Tumeshawahi kusikia mtu akiambiwa kuwa ananuka chupi au hajui kufua chupi,kuna wanaume hata, huku jamvini wanalalamikia fungus sehemu za siri,huu wote ni uchafu, kwa wanaume wenzangu tumalizapo kuoga ni lazima tufanye special treatment huku sirini, ni lazima tushave at least once a week na baada ya kuoga ni muhimu kuzisugua kende zetu na kitaulo laini au brash laini unajua kende zinabeba uchafu mwingi sana sometimes ukiweza waweza kumwambia shemeji akakusugua na chicha la nazi na baada ya kutakata paka mafuta ya nazi.

Fangasi utazisikia kwa wengine tu, wanawake nao hivyo hivyo mtu akiwa mvivu kidogo tu na joto hili la TZ kunuka chupi jasho au kikwapa ni rahisi mno na ndo mwanzo wa kukosa wachumba au kukimbiwa.
 
Kwani kuna nini?

Basi mie nilidhani 'tende', kumbe kuna K badala ya T
 
mapenzi bana sijui yapoje. yaan harufu ya kikwapa cha mpenz waweza sikia kama harufu nzuri ya marashi.
Demba sio harufu hiyo ambayo huwa na mvuto wa ajabu ni harufu ua uchafu
 
kuoga kweli sii usafi Kama kuoga ingekuwa usafi,taulo lisinge chafuka.Kwa dhana hiyo basi bora Ujiswafi tu,
 
ha ha ha.... ati "kuosha k***de kwa chicha la nazi"..
mi mwanafunzi kweli, lol...
 
Na kwa wadada papuchi inaoshwa kama sahani....sio kwa papara....taratibu pande zote.....kidole kiingizwe kidogo kutoa ule ute mweupe maana huo ndo moja ya chanzo cha fishy smell.....ukijisafisha ivo twice per day...bad fishy smell will be a history..to all ladies who care
 
Some men smell so good you just wanna eat them whole.
 
Na kwa wadada papuchi inaoshwa kama sahani....sio kwa papara....taratibu pande zote.....kidole kiingizwe kidogo kutoa ule ute mweupe maana huo ndo moja ya chanzo cha fishy smell.....ukijisafisha ivo twice per day...bad fishy smell will be a history..to all ladies who care

mamy wataalamu wa afya wanasema,papuchi ukiingiza vidole ndani unaua special bacteria ambao wako kwenye papuchi kuprotect.so ukiingiza vidole wale bacteria wanakufa then hapo ndo utapoanza kutema harufu kama yai viza.so wataalamu wanasema papuchi isafishwe kwa nje tu ndani achana nako coz hii ki2 inajisafisha yenyewe kwa ndani.
 
mamy wataalamu wa afya wanasema,papuchi ukiingiza vidole ndani unaua special bacteria ambao wako kwenye papuchi kuprotect.so ukiingiza vidole wale bacteria wanakufa then hapo ndo utapoanza kutema harufu kama yai viza.so wataalamu wanasema papuchi isafishwe kwa nje tu ndani achana nako coz hii ki2 inajisafisha yenyewe kwa ndani.

Acha upotoshaji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom