Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Jana JK amedai ya kuwa kuna malengo mawili tu ya MDG au Millenium goals ambazo hatuwezi kuzifikia na ni zile zinazogusa "life expectancy" na hivyo kuamaanisha ya kuwa nyingine zote tutazikamilisha...................huu ni uongo wa kutukuka........................
Katika kupima ubora wa maisha ya mwanadamu yaani "standard of living" kipimo cha "life expectancy" ni cha muhimu sana na vipimo hivyo viwili huwezi kuvitenganisha hata chembe........................
Kwa kauli ya JK inaashiria ya kuwa MDGs nyinginezo zote tutazikamilisha na hivyo kama ni kweli itakuwa hivyo basi "living standard" itapanda na kama ikipanda kwa nini "life expectancy" ishuke au kubali pale pale ilipo????????????????
Vifo vya watoto chini ya umri wa miaka 5 na akina mama waja wazito ni dhahiri vitachangia katika kupunguza "life expectancy" na moja kwa moja waathirika hao "living standard" yao ni lazima iwe mbaya vinginevyo wangelikuwa na mazingira ya kukwepa hizo suluba.........................
Suluba hizo wameshindwa kuzikwepa kwa sababu ni ukweli usiopingika hatuna uwezo wa kufikia hizo MDgs hata mojawapo...................
Sasa pale ambapo Jk anashindwa kuona uhusiano kati ya "life expectancy" na "living standard" hi huyu ni mchumi wa wapi??????????????????
Jana hiyo Waziri Ngeleja amesema umeme wa uhakika ni hadi 2033.............sasa hizo MDGs nyinginezo ukiondoa nambari 4 na 5 ambazo JK anatamba zitafikiwa.......kweli zitafikiwa bila ya umeme wa uhakika????????????????
Is this government speaking in tongues or what........................
Katika kupima ubora wa maisha ya mwanadamu yaani "standard of living" kipimo cha "life expectancy" ni cha muhimu sana na vipimo hivyo viwili huwezi kuvitenganisha hata chembe........................
Kwa kauli ya JK inaashiria ya kuwa MDGs nyinginezo zote tutazikamilisha na hivyo kama ni kweli itakuwa hivyo basi "living standard" itapanda na kama ikipanda kwa nini "life expectancy" ishuke au kubali pale pale ilipo????????????????
Vifo vya watoto chini ya umri wa miaka 5 na akina mama waja wazito ni dhahiri vitachangia katika kupunguza "life expectancy" na moja kwa moja waathirika hao "living standard" yao ni lazima iwe mbaya vinginevyo wangelikuwa na mazingira ya kukwepa hizo suluba.........................
Suluba hizo wameshindwa kuzikwepa kwa sababu ni ukweli usiopingika hatuna uwezo wa kufikia hizo MDgs hata mojawapo...................
Sasa pale ambapo Jk anashindwa kuona uhusiano kati ya "life expectancy" na "living standard" hi huyu ni mchumi wa wapi??????????????????
Jana hiyo Waziri Ngeleja amesema umeme wa uhakika ni hadi 2033.............sasa hizo MDGs nyinginezo ukiondoa nambari 4 na 5 ambazo JK anatamba zitafikiwa.......kweli zitafikiwa bila ya umeme wa uhakika????????????????
Is this government speaking in tongues or what........................