WATAKACHOFANYWA WANAOMUITA RAIS MAGUFULI MSHAMBA
"Halafu kuna watu wanamuita Rais Magufuli mshamba, hawa ndio wale ambao ukikutana hao kwenye Giza mnamalizana.....Serikali yoyote makini ikishaamua hakuna mjadala, iwe unalia iwe unacheka unatakiwa kwenda" - amesema naibu waziri TAMISEMI Mwita Waitara akizungumza kwenye ziara yake Halmashauri ya wilaya ya Makete
Subiri msimu wa kuzungusha mikono na kupiga deki barabara unakaribia.Jambazi ni jambazi tu hata awe wapi! Waitara ni jambazi!!
Bila shaka na wewe ni jambazi!chadema ni kama kapu la takataka linajaziwa takataka likijaa zinenda kumwagwa siyo kuwa hazitaki ila anazitaka takazake ila zimejaa tuu
jambazi ni mtu wa aina gani?Bila shaka na wewe ni jambazi!
Najua ninyi ni mabingwa wa kuzungusha viuno!Subiri msimu wa kuzungusha mikono unakaribia.
Kama wewe!jambazi ni mtu wa aina gani?
Yeye ni mshamba na mbumbumbu namba moja, na kamwe sitakutana naye po pote. Na tutakapokutana naye kwa namna yo yote sitasubiri ni kweli tutamalizana.WATAKACHOFANYWA WANAOMUITA RAIS MAGUFULI MSHAMBA
"Halafu kuna watu wanamuita Rais Magufuli mshamba, hawa ndio wale ambao ukikutana hao kwenye Giza mnamalizana.....Serikali yoyote makini ikishaamua hakuna mjadala, iwe unalia iwe unacheka unatakiwa kwenda" - amesema naibu waziri TAMISEMI Mwita Waitara akizungumza kwenye ziara yake Halmashauri ya wilaya ya Makete
nimempora nani kitu chake nimenyang'anya nini kwa nani?Kama wewe!
Shauri yako.Najua ninyi ni mabingwa wa kuzungusha viuno!
Una nia ovu!nimempora nani kitu chake nimenyang'anya nini kwa nani?
Najua utakuwa nyuma ya lugola ukikata kiuno!Shauri yako.
Hiyo sauti ni yangu 100 kwa 100 utanifanya nini, alisikika akisema.WATAKACHOFANYWA WANAOMUITA RAIS MAGUFULI MSHAMBA
"Halafu kuna watu wanamuita Rais Magufuli mshamba, hawa ndio wale ambao ukikutana hao kwenye Giza mnamalizana.....Serikali yoyote makini ikishaamua hakuna mjadala, iwe unalia iwe unacheka unatakiwa kwenda" - amesema naibu waziri TAMISEMI Mwita Waitara akizungumza kwenye ziara yake Halmashauri ya wilaya ya Makete
Aliokotwa jalalani akapewa teuzi km fadhila ya kuwatusi wapinzani sio Kwa sababu ni smart kichwani MTU wa kuropokaropoka hovyo siri za chama pombeni,aongexe bidii ili utumbuzi usimpite asirudie kazi yake ya awali ya kutembeza mayaiAtajikomba sana lakini 2020 hana lake
Lakini wewe unachekesha. Sura yake hiyohiyo sialikua nayo akiwa huko?Sura ya Waitara na maneno yake ni ya kijambazi, hivyo simshangai!
Kwani alipokuwa huko aliacha ujambazi!Lakini wewe unachekesha. Sura yake hiyohiyo sialikua nayo akiwa huko?
Hebu binuka nikushughulikie.Najua utakuwa nyuma ya lugola ukikata kiuno!
ana sura kiulimpyoto 🤣 🤣Sura ya Waitara na maneno yake ni ya kijambazi, hivyo simshangai!