Leo simu ya cocochanel imehackiwa. Sijuwi bado yupo kanisani. Akirudi ataua mtu.Hivi hawa wanaohamia CCM na kupewa nafasi ya kugombea.. kwani wa CCM waliopo hawana uwezo wa kugombea au ndio hawaaminiki?
Hawa walichaguliwa kwa sababu ya Chadema.. mbona wanajihamini sana wanapoingia ccm.. yaani waliopo ndio hawata gombea tena kisa hawa wageni?
Wanajisikiaje kukisimamia chama chao na kusubiria kuwania uongozi muda wote then wageni wanakuja na kupewa nafasi ya kwanza.. kisa nini haswa wanacho kuwazidi?
Kingine kiukweli sielewi hii kitu kama mwananchi.. pesa zinatoka wapi kurudia uchaguzi..
Na upinzani ukififia raha ya siasa aliyoanzisha Mwalimu Nyerere ya vyama vingi si ndio inakuwaje..
JPM anasukuma Dodoma kwa sababu ya Nyerere haya mengine vipiiii? Hao waliopo kuja kupitwa na wageni ndio inanishangqza na kuniboa.. natamani wananchi wasiwachague tena..
Kwani ubunge na ukuu wa wilaya kipi chenye maslai zaidi???Dadeki unadhani kupewa ukuu wa wilaya ni kazi nyepesi. Lazina ujitoe ufahamu
Mkuu , usimdharau, mheshimu tu ,Huyu Jamaa nimemdharau sana na mfano wake wa Mtoto wa kambo ..sikuamini asee..
Upeo mdogo sana.
Wewe hujafikwa bei, wapo kina dr.slaa walishachezea vipigo kutoka ccm. ,Ila walipofikwa bei walisepa na sasa wanakula keki ya taifa huko swedeni.Kama siasa ndizo hizi bora nistaafu siasa huko CHADEMA nadhani kuna mgogoro........bora niache kufuatilia siasa kuliko kwenda CCM walah siwezi kamwe nasema siwezi!!
Usimpinge, hata TLP ilianza hivi hivi, wap CUF, NSSR MAGEUZ?ni chizi kama wewe tu ataweza kuamini huu upuuzi
Kwann mkuu, mimi hata msigwa simuamini, hata mbowe, ni LISSU tu ndio naweza kubet hatahama na asiniangushe,Ila Anthony komu simuelewi kabisa nyendo zake licha ya kuwa sikubaliani na hoja za huyu chizi, kuhusu milya it's matter of time!
HahaaaaaaaWahame wote, ili tuone raga ya kuwa na chama kimoja
Chadema ndio hivo, migogoro yao inatumiwa kuwavuruga, ili apandikizwe Mtu, ona had CCM wamepandikiza Mamluki ndan ya CHADEMA na akashika nyazifa kubwa, MWENYEKIT WA BAVICHA, kazi yake ilipoisha karudi ccmCCM ndani kwa ndani kuna mtifuano..wait and see.
Hakuna amani Lumumba na kama ipo ni ya kinafiki na woga.
We jamaa umenichekesha sana tunatofautiana lkn mimi ni mimi Slaa nae ni yeye........kwa hiyo usigeneralizeWewe hujafikwa bei, wapo kina dr.slaa walishachezea vipigo kutoka ccm. ,Ila walipofikwa bei walisepa na sasa wanakula keki ya taifa huko swedeni.
Tulia mkuu usiropoke, hata waitara alikuwa anaapa kuliko wewe, Watanzani wengi tumejaa njaa, hujaletewa fuko la hela ww, utamkana hadi mzazi wako. OhoooView attachment 827518
Chadema Hakuna mgogoro ila kuna watu wanafika bei...wanataka kuwachafuwa na wenzao waliowaacha kwenye mapambano...wewe kama umeondoka si uondoke...acha kuwapaka matope wenzako.. Chadema daima itabaki imara.... Hata aondoke Mbowe... Kwanza tumeshajua mbinu zenu...za kumchafua kamanda Mbowe baada ya kushidwa kumnunua... Tunasema Mbowe pambana mkuu wanachama tunakuamini na usitishwe na wanaoondoka.Kuna mgogoro gani huko Chadema
Ramli ya JJ ilibuma imebidi waje na ramli hii mpya.Mbona umemsahau kijana JJ,maana huyu fununu zake zipo kitambo.Ngoja tuone huu mchezo utakapoishia.