Waitara: Wafuatao wanahama CHADEMA

Waitara: Wafuatao wanahama CHADEMA

kidum chama cha chadema kidum.
yangu macho najua baada ya kaul hii yajayo yatafurahisha tupo tayari kuyasikia
 
Wanajuana siyo bure hivi mgogoro gani huo ambao mbowe apandikize kwa akina Komu? Millya? Nao wanautaka uenyekiti au huyo Japhary sijui kubenea nonsense, hapa anatuambia kuwa hao bado wanabargain au wameshafika bei sasa wanatafuta namna ya kutoka
 
Ni chama kipi ambacho kina democrasia ya kweli Tanzania? Chama kinachofanya uchaguzi huru na wa kishindani unafanyika chama gani?
CHADEMA mbona demokrasia ipo kila siku uchaguzi unafanyika watu wanashindana.
 
Leo katika kipindi cha Tuongee Asubuhi cha StarTV aliyekuwa mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara amewataja wabunge ambao wapo njiani kujiondoa Chadema na kujiunga na CCM au kuacha Siasa. Amewataja wabunge hao kuwa ni Anthony Komu (Moshi Vijijini), Japhary Michael (Moshi Mjini), Saeed Kubenea (Ubungo), na James Ole Millya (Simanjiro).
_
"Napenda nikuhakikishie kuwa Komu, Japhary, Kubenea na Millya watahama Chadema muda wowote kuanzia sasa kwa sababu ya migogoro iliyosababishwa na Mbowe. Na kama hawatahama basi watastaafu siasa." Amenukuliwa Waitara.

Nini maoni yako?View attachment 827400
Sasa yeye inamuuma kitu gani huyo mfia tumbo?
 
Tunajua kahama ila muulizeni kwa nn anakuwa na kiwewe akati kishahama,Tunajua hofu aliyonayo ila mwambieni pia tunajua anaipenda CHADEMA kutoka rohoni mkitaka kuamini Hilo Muulizeni Emmanuel Nchimbi huyu jamaa anapingana na ukweli
 
Si wahame wote tuanze upya mbona sasa wanatupasua Vichwa.
Na ukifuatilia kwa umakini hii ni picha iliyopangwa vizuri na watawala na ndiyo maana hiyo interview kaenda kuifanyia kwa mwenyekiti wa ccm
 
Na wasipo hama asije kukimbia. Alivyo wataja ndio kaharibu sasa hawata hama maana ame wa expose.
Huyu jamaa ni bichwa tupu sasa anaona aibu ndio maana anatapatapa tu akili zake sawa na tbc
 
Kama wanasimamia maslahi yao watahama....kama ni wananchi watabakia kuwatumikia
 
Leo katika kipindi cha Tuongee Asubuhi cha StarTV aliyekuwa mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara amewataja wabunge ambao wapo njiani kujiondoa Chadema na kujiunga na CCM au kuacha Siasa. Amewataja wabunge hao kuwa ni Anthony Komu (Moshi Vijijini), Japhary Michael (Moshi Mjini), Saeed Kubenea (Ubungo), na James Ole Millya (Simanjiro).
_
"Napenda nikuhakikishie kuwa Komu, Japhary, Kubenea na Millya watahama Chadema muda wowote kuanzia sasa kwa sababu ya migogoro iliyosababishwa na Mbowe. Na kama hawatahama basi watastaafu siasa." Amenukuliwa Waitara.

Nini maoni yako?View attachment 827400
Waende tu machumia tumbo hayo! Halaf hivi 'migogoro' anayoisema Waitara kuwa ipo Chadema ni ipi?
 
Lengo ni mbowe aachie uenyekiti. Mbowe ndio kikwazo cha kuisambaratisha cdm .Na nafikiri ccm wana mtu wao ,pandikizi limeandaliwa tayari. WAKISIKIA MBOWE KAACHIA UENYEKITI BASI WATASHEREHEKEA.Mambo mawili yatatokea mosi kupandikuza mgogoro ktk mchakato wa kumpata mkitI mpya au kuhakikisha wanaweka mtu wao. TUSUBIRI!
Na Mbowe hatoki ng"oooo maccm yataishia kumaliza kodi za wavuja jasho bure
 
Na hii ndio target kubwa kwa sasa, watanunuliwa sana, sababu itakuwa ni mbowe

Chadema wakikubal kumuondoa mbowe bas wanapandikiziwa mtu kutoka CCM kama vile walivyopandikiziwa MWENYEKIT WA BAVICHA
Kina lyatonga wapo wengi sana
 
Huyo Waitara ni bwege tu! Wenzie wameondoka ktk vyama vyao kwenda Chama cha Kigaidi- CCM, hawakutumika km kipaza sauti cha kusaga na kuponda upande wa pili walikotokea, lkn hili kichwa maji haliko makini, halijui km siasa za Nchi hubadilika ghafla kulingana na Kiongozi aliyopo madarakani kwa muda huo, ipo siku litakuja kujuta.

Limefika bei na kuondoka, likiwaacha watu makini wakiendeleza ukombozi wa Nchi yetu, ipo siku litajuta km Mzee wetu Mpendazoe ambaye hadi leo hii haeleweki alipo!
Umetema dhahabu mkuu
 
Back
Top Bottom