ThinkPad
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 1,844
- 232
Habari wadau,
Jamani hii imekaaje nasikia hawa watu huwa wana akili sana na wanauwezo wakutafuta pesa sana ktk biashara sasa mimi nilikuwa nauliza inakuwaje sababu ya kuwafanya wawe na akili sana Je wamesoma au ni vyakula au wamependelewa tu yaani sijui nini maana nimejaribu kufikilia sana kuhusu hili suala.
Nimejaribu kufatia kwa-juu juu tu nikakuta kuna maprof wengi sana na ma dr
mfano halisi hawa wamiliki wa google,Oracle, Dell, Intel
Kuna viongozi wengisana pia ambao aili yao ni Israel : hapa
Mwenye kufahamu anijulishe tafadhali.
Jamani hii imekaaje nasikia hawa watu huwa wana akili sana na wanauwezo wakutafuta pesa sana ktk biashara sasa mimi nilikuwa nauliza inakuwaje sababu ya kuwafanya wawe na akili sana Je wamesoma au ni vyakula au wamependelewa tu yaani sijui nini maana nimejaribu kufikilia sana kuhusu hili suala.
Nimejaribu kufatia kwa-juu juu tu nikakuta kuna maprof wengi sana na ma dr
mfano halisi hawa wamiliki wa google,Oracle, Dell, Intel
Kuna viongozi wengisana pia ambao aili yao ni Israel : hapa
Mwenye kufahamu anijulishe tafadhali.