Magoya2000
JF-Expert Member
- May 7, 2017
- 575
- 1,131
Habari za humu!
Naukubali sana utaratibu wa wenzetu wa dini tofauti. Kwao unaweza kuoa na kuingiza mke kwa 200k au hata 100k. Niliwahi kuwa mshenga, kuna dogo alitoa 50k akachukua mke mapema sana maana ilikuwa kipindi cha Ramadhani mwendo wa maandazi tu harusi imeisha.
Nimeishi Kusini yaani kipindi hiki cha Ramadhani ndoa kama zote. Kwetu sisi wa Christ hali ni tete, maana budget ya mali tu kama 2.5mil ukianza maandalizi yaani budget ya chini mil 15, unasumbuka na michango hadi shida bado mwanamke naye anaweza kukusumbua, ukizingatia gharama ulizoingia hata Mahakama haisemi urudishiwe pesa yako.
Kuna wakati natamani nibadili dini nihamie upande wa pili, shida tu itikadi na malezi niliyokulia naamini life is useless without Christ.
Hapo ndio tunatofautiana Imani. Kama wenzangu wengekuwa wanamuamini Christ ndio everything ningehama. Otherwise nikae pale niangalie team kataa ndoa.
Naukubali sana utaratibu wa wenzetu wa dini tofauti. Kwao unaweza kuoa na kuingiza mke kwa 200k au hata 100k. Niliwahi kuwa mshenga, kuna dogo alitoa 50k akachukua mke mapema sana maana ilikuwa kipindi cha Ramadhani mwendo wa maandazi tu harusi imeisha.
Nimeishi Kusini yaani kipindi hiki cha Ramadhani ndoa kama zote. Kwetu sisi wa Christ hali ni tete, maana budget ya mali tu kama 2.5mil ukianza maandalizi yaani budget ya chini mil 15, unasumbuka na michango hadi shida bado mwanamke naye anaweza kukusumbua, ukizingatia gharama ulizoingia hata Mahakama haisemi urudishiwe pesa yako.
Kuna wakati natamani nibadili dini nihamie upande wa pili, shida tu itikadi na malezi niliyokulia naamini life is useless without Christ.
Hapo ndio tunatofautiana Imani. Kama wenzangu wengekuwa wanamuamini Christ ndio everything ningehama. Otherwise nikae pale niangalie team kataa ndoa.