kuruta
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 261
- 103
Hivi UKAWA ni Chama, NGO, VICOBA, SACCOS, au nini mkuu?
wewe mgojwa siyo bule.
Hivi UKAWA ni Chama, NGO, VICOBA, SACCOS, au nini mkuu?
Wewe uliye "mzima" mbona umeshindwa kueleza kwamba UKAWA ni kitu gani!wewe mgojwa siyo bule.
Mbona hajazungumzia madhila ya Waislamu waliyopata toka kwa CHADEMA kumvulia Hijabu DC na pia kumweka Padre kuwa mgombea ili akiingia Ikulu akandamize Waislamu?
Very interesting, Waislamu wa humu Jf walipinga sana uteuzi wa Dr Slaa kugombea Urais kwa kisingizio kwamba hawawezi kuongozwa na Padre! This time around hayo yote yamezikwa! Ngoja tusubiri mchakato wa Katiba ukiisha tutasikia mapya!Kua Padre sio issue inayotuuumiza kichwa, lakini kua Padre Adui wa Uislamu hilo laweza kua tatizo.
Very interesting, Waislamu wa humu Jf walipinga sana uteuzi wa Dr Slaa kugombea Urais kwa kisingizio kwamba hawawezi kuongozwa na Padre! This time around hayo yote yamezikwa! Ngoja tusubiri mchakato wa Katiba ukiisha tutasikia mapya!
Haaaaa haaaaa, siasa tamu sana aiseee! Usiku unaitwa mchana na mchana unaitwa usiku!! Safi sana, nimeipenda hii!!Issue sio kua Padre au Buchanan, issue ni Uadilifu tu ndugu yangu. Kwanza lazima Ujue ni afadhali ya Padre kuliko watu kama kina Sheikh Jongo. Wao ni wanafiki. Muislamu Mnafiki ni hatari zaidi kuliko Mkrisito au Padre au Buchanan ambae hana Uadui na Uislamu. Kwani Miongoni mwa hao Mpadre na Kina Buchanan hua Waislamu wazuri kuliko wanafiki wanajibamba na Mahijabu kumbe ni Maslahi ya Dunia ndio Mungu wao na, wanatumia Uislamu kama Nyota ya kujitafutia umaarufu.
Halafu koma kutumia neno waislamu mbona mimi siko pamoja na ukawa.
Kila afanyaye ovu tu ni wa chama fulani, right?Wewe uko pamoja na CCM kuwafir.a Masheikh, we hakika ni muislam safi sana utaingia janna
Mhhh! Sasa Wewe kama Muislamu, nini Msimamo wako juu ya hayo Madhila yaliyowakuta na yanayo endelea kuwakuta Waislamu chini ya Serekali ya CCM bila kujali kama Msemaji jukwaa alilopata kutueleza hayo ni UKAWA au Sahani?
Hivi kwa unavyodhani wewe nchi hii ya waislamu pekee yao?????Maanake umejikita zaidi kuwasemea waislamu kuwa wanapata madhila je unasemaje kuhusu Madhila wanayopata wakristo kwa kumwagiwa tindikali,kuuwawa na makanisa yao kuchomwa moto na katika yote hayo hakuna hata mmoja aliyekamatwa na kushitakiwa??????
UKAWA ni tumaini la wana-UKAWA!
Wewe uko pamoja na CCM kuwafir.a Masheikh, we hakika ni muislam safi sana utaingia janna
hivi serious waliwaf.i.ra too bad watz tupaze sauti zetu ktk hili leo wamefanyiwa wao kesho mimi au wewe.
Vyama vingine havina waovu?Chama husika kimependezwa na hilo. Lingekua halijawapendeza wangeunda tume huru kubaini ukweli juu ya hilo.
Kwa hiyo Serikali ina nanhii mpaka ifanye ubaya huo?Serikali ya CCM ilimfir.a Sheikh Mselem...!
Mkuu nashukuru kwa maoni yako ila tujikite kwenye mada, please!melo aliona mbali sana kukuondoa kwenye ajira yako uliyoipenda ya u-moderator.ajira pekee iliyokuwa inakuweka mjini.pole ndg.
Kwa hiyo hoja yako ni ipi mkuu?.....ibara ya 20 (2)
(2) Masharti ya Sura hii hayatatiliwa nguvu ya kisheria na Mahakama
yoyote. Mahakama yoyote nchini haitakuwa na uwezo wa kuamua juu ya
suala kama kutenda au kukosa kutenda jambo kwa mtu au mahakama yoyote
au kama sheria au hukumu yoyote inaambatana na masharti ya Sura hii.