sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,034
Jamhuri ya Dagestan ni moja ya miji midogo ndani ya urusi inayosifika kwa kuwa na waislam wengi, huwa wana dalili za kujitenga na Urusi, Ni kama walivyo Chechnya.
Kwenye vita inayoendelea kwa sasa zimeibuka hisia za chuki dhidi ya wayahudi, Airport imevamiwa kwa lengo la kuwakamata wayahudi baada ya kupata taarifa kuna ndege inakaribia kutua iliyotokea Israel
Wakiwa wanaisubiri ndege kutua
Baada ya kusubiri muda mrefu, Haikufahamika kama ndege imetua wamevamia Airport