Waislam wauawa kinyama huko Bangue-C.A.R

Waislam wauawa kinyama huko Bangue-C.A.R

Status
Not open for further replies.

Ralphryder

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2011
Posts
5,599
Reaction score
1,801
Wameuawa na wakristo ambao wamewavamia kwa makundi na kuwafukuza majumbani kwao, na kisha kuwapora kila kitu! Unyama huo umeshirikisha wakristo kutoka hadi vijijini ambao wamekuja kuongeza nguvu ili kuhakikisha wanatokomeza waislamu wote! Wakristo hao walisheheni silaha mbalimbali zikiwemo bunduki za kienyeji, Machete, mikukuki na kila aina ya silaha.Source TVC News Africa.
 
Unajua kwamba?
 

Attachments

  • 1390486592030.jpg
    1390486592030.jpg
    22.8 KB · Views: 424
Mkuu una uhakika sio alishababu hao?manake mwislam kumwamini kazi kwelikweli
 
Poleni wananchi wa afrika ya kati, ila nadhani mmejifunza vita ya udini haina mshindi. Kwani mapanga yapo tu. Kila mtu anaweza kuyatumia. Udini ni sumu ya amani
 
Nadhani yanayotokea Africa ya Kati iwe fundisho kwa Tanzania na duniani kote... Ubabe wa kidini ni mbaya sana. Haya yanayoendelea CAR ni wakristo kulipiza kisasi baada ya ndugu zao wengi kuuawa na makundi yanayojiita Waislam wenye imani kali... Hakuna ubishi kwamba makundi haya yenye imani kali yamekuwa ni tishio kwa amani sehemu nyingi Afrika... Angalia Nigeria kundi la Boko Haram linavyoua watu wasio na hatia...Hata hapa Tanzania uchomaji wa makanisa na vurugu za kuchinja ni hawahawa wanaiojiita imani kali...Sasa tusipokemea kwa nguvu zote bila kujali we ni muislam au mkristo siku si nyingi haya mambo yatahamia kwetu...

Nilitegemea mwenye Imani kali awe anashinda na kulala msikitini kwa kumwomba Mungu atuondolee masahabu, cha ajabu imani kali inaelekea kwenye kuua watu... Hii si imani kali ni LAANA KALI....
 
Nchi ile ilianza kutengamaa baada ya kuwa katika misukosuko ya utawala wa kidikteta na mapinduzi ya kijeshi, lakini ikaanza kutulia kidogo baada ya Francois Bozize kuingia madarakani. Baadae kikaingia kikundi cha wanamgambo cha Seleka kikampindua rais aliyechaguliwa kihalali, na kikaingiza udini kwani kilikuwa kimeteua rais muisilamu, Michel Djotodia. Wakristu wakaanza kunyanyaswa na kuuwawa. Sasa hapo ndipo udini ukakua, juzi juzi wamepigana hadi jumuiya ya kimataifa ikamshauri rais Michel Djotodia ajiuzulu kwa kuwa ameshindwa kutatua mapigano. Muda mfupi tu baada ya Michel Djotodia kujiuzulu, kibao kikageuka. Kikundi cha wanamgambo Wakristu wanaojiita anti-Balaka kikaanza kuwasaka Seleka na vijana wa kiisilamu waliokuwa wanaendesha manyanyaso, na ndio hadi leo anti-Balaka inawapiga waisilamu kutokana na uchungu wa kupoteza ndugu zao waliouawa
 
Nchi ile ilianza kutengamaa baada ya kuwa katika misukosuko ya utawala wa kidikteta na mapinduzi ya kijeshi, lakini ikaanza kutulia kidogo baada ya Francois Bozize kuingia madarakani. Baadae kikaingia kikundi cha wanamgambo cha Seleka kikampindua rais aliyechaguliwa kihalali, na kikaingiza udini kwani kilikuwa kimeteua rais muisilamu, Michel Djotodia. Wakristu wakaanza kunyanyaswa na kuuwawa. Sasa hapo ndipo udini ukakua, juzi juzi wamepigana hadi jumuiya ya kimataifa ikamshauri rais Michel Djotodia ajiuzulu kwa kuwa ameshindwa kutatua mapigano. Muda mfupi tu baada ya Michel Djotodia kujiuzulu, kibao kikageuka. Kikundi cha wanamgambo Wakristu wanaojiita anti-Balaka kikaanza kuwasaka Seleka na vijana wa kiisilamu waliokuwa wanaendesha manyanyaso, na ndio hadi leo anti-Balaka inawapiga waisilamu kutokana na uchungu wa kupoteza ndugu zao waliouawa

Kwa hiyo, nao ni Magaidi au kwa kuwa ni wakristo jina linabadilika!
 
Nadhani yanayotokea Africa ya Kati iwe fundisho kwa Tanzania na duniani kote... Ubabe wa kidini ni mbaya sana. Haya yanayoendelea CAR ni wakristo kulipiza kisasi baada ya ndugu zao wengi kuuawa na makundi yanayojiita Waislam wenye imani kali... Hakuna ubishi kwamba makundi haya yenye imani kali yamekuwa ni tishio kwa amani sehemu nyingi Afrika... Angalia Nigeria kundi la Boko Haram linavyoua watu wasio na hatia...Hata hapa Tanzania uchomaji wa makanisa na vurugu za kuchinja ni hawahawa wanaiojiita imani kali...Sasa tusipokemea kwa nguvu zote bila kujali we ni muislam au mkristo siku si nyingi haya mambo yatahamia kwetu...

Nilitegemea mwenye Imani kali awe anashinda na kulala msikitini kwa kumwomba Mungu atuondolee masahabu, cha ajabu imani kali inaelekea kwenye kuua watu... Hii si imani kali ni LAANA KALI....

Wangekuwa waislamu wanawaua wakristo, Marekani wangepeleka bomu kuwauwa na wangeitwa magaidi, sasa hawa wakristo na sio magaidi sasa?
 
Nadhani yanayotokea Africa ya Kati iwe fundisho kwa Tanzania na duniani kote... Ubabe wa kidini ni mbaya sana. Haya yanayoendelea CAR ni wakristo kulipiza kisasi baada ya ndugu zao wengi kuuawa na makundi yanayojiita Waislam wenye imani kali... Hakuna ubishi kwamba makundi haya yenye imani kali yamekuwa ni tishio kwa amani sehemu nyingi Afrika... Angalia Nigeria kundi la Boko Haram linavyoua watu wasio na hatia...Hata hapa Tanzania uchomaji wa makanisa na vurugu za kuchinja ni hawahawa wanaiojiita imani kali...Sasa tusipokemea kwa nguvu zote bila kujali we ni muislam au mkristo siku si nyingi haya mambo yatahamia kwetu...

Nilitegemea mwenye Imani kali awe anashinda na kulala msikitini kwa kumwomba Mungu atuondolee masahabu, cha ajabu imani kali inaelekea kwenye kuua watu... Hii si imani kali ni LAANA KALI....

Asante kwa ufafanuzi wako mkuu! Najua mkuki ni kwa nguruwe tu, kwa binadamu mchugu! Ila, acha wakivune walichokipanda!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom