Waislam wauawa kinyama huko Bangue-C.A.R

Waislam wauawa kinyama huko Bangue-C.A.R

Status
Not open for further replies.
Yaaaaani! Haya si ndiyo mawazo ya kitoto na ya kihanidhi yanayosumbua watu kila siku? Nikisoma haya naelewa kuwa waislamu walikuwa wakiishi katika mitaa ya waislamu watupu na wakristo wamekwenda huko na kuanza kuwafurusha. Kama si kuchochea udini ni nini?

Hivi kuna dunia ambayo wakristo wanaishi mitaa yao na waislamu yao. Labda Saudia! Taarifa yako ni uongo na uchochezi wa kutaka kutangaza shida yako binafsi inayokusumbua, siyo ukweli!

Ni habari ya kweli mkuu.
 
Wameuawa na wakristo ambao wamewavamia kwa makundi na kuwafukuza majumbani kwao, na kisha kuwapora kila kitu! Unyama huo umeshirikisha wakristo kutoka hadi vijijini ambao wamekuja kuongeza nguvu ili kuhakikisha wanatokomeza waislamu wote! Wakristo hao walisheheni silaha mbalimbali zikiwemo bunduki za kienyeji, Machete, mikukuki na kila aina ya silaha.Source TVC News Africa.

nimekua nikifatilia kwa karibu sana yanaondelea huko central african republic.perhaps mfululizo wa matukio kama haya,unasaidia kuondoa that old and wrong perception iliyo ktk fikra za ndg zetu waislamu wa tz,kwamba emotionally wakristo ni watu weak,hawawezi kujitetea,hawawezi kujihami,hawawezi ku react,hawawezi kugeuka na kuwa na roho ya kinyama,jazba zao haziwezi kuwapeleka wakafanya mauaji ya kutisha nk.round hii somo mnalipata barabara toka bangue.si mnamkumbuka yule dogo aliye tafuna mwili wa mwislamu?!.
 
Wameuawa na wakristo ambao wamewavamia kwa makundi na kuwafukuza majumbani kwao, na kisha kuwapora kila kitu! Unyama huo umeshirikisha wakristo kutoka hadi vijijini ambao wamekuja kuongeza nguvu ili kuhakikisha wanatokomeza waislamu wote! Wakristo hao walisheheni silaha mbalimbali zikiwemo bunduki za kienyeji, Machete, mikukuki na kila aina ya silaha.Source TVC News Africa.
weka picha!
 
mhhh hawa wavaa vipedo nawaogopaje! kama hajakurushia jini basi hata panga atakukata kwa kisinguzio cha kutetea uislam
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom