Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 9,280
- 9,020
Mkuu hao wote ni magaidi. Tatizo ni ardhi, hao watu walikuwa wakiishi kwa Amani ila wageni kutoka Chad na Sudan wakaanza kuwafanya kama Janjaweed wanavyofanya.Kwa hiyo, nao ni Magaidi au kwa kuwa ni wakristo jina linabadilika!
Wote wamekosea kwa sababu ardhi ipo duniani ya kutosha tu, wafikirie kabla ya kuamua.