Waislam wauawa kinyama huko Bangue-C.A.R

Waislam wauawa kinyama huko Bangue-C.A.R

Status
Not open for further replies.
Wameuawa na wakristo ambao wamewavamia kwa makundi na kuwafukuza majumbani kwao, na kisha kuwapora kila kitu! Unyama huo umeshirikisha wakristo kutoka hadi vijijini ambao wamekuja kuongeza nguvu ili kuhakikisha wanatokomeza waislamu wote! Wakristo hao walisheheni silaha mbalimbali zikiwemo bunduki za kienyeji, Machete, mikukuki na kila aina ya silaha.Source TVC News Africa.

Acha udini bwana mdogo'
 
Wameuawa na wakristo ambao wamewavamia kwa makundi na kuwafukuza majumbani kwao, na kisha kuwapora kila kitu! Unyama huo umeshirikisha wakristo kutoka hadi vijijini ambao wamekuja kuongeza nguvu ili kuhakikisha wanatokomeza waislamu wote! Wakristo hao walisheheni silaha mbalimbali zikiwemo bunduki za kienyeji, Machete, mikukuki na kila aina ya silaha.Source TVC News Africa.

Na Wakristo wakiuawa uje uripoti humu jamvini.
 
Mkuki mchungu kwa binadamu nguruwe...hawa jamaa wa seleka wengi wao wanatokea nchini chad na sudan na wengi wao ni waislam na ukizingatia afrika ya kati 90% ya raia ni wakristo..sasa hawa jamaa baada ya kumpinduwa yule rais bozize wakamuweka rais wao michel kama kawaida yao wakaanzisha Sharia kalia za kiislam bila kujali kuwa Taifa lile lina wakaazi wengi wa kikristo kuliko wao waislam...sasa ulitegemea nini kingetokea? Mfano tu mdogo toka hapa uende zanzibar ukaanzishe sheria za kikristo uone majibu yake!!
 
Huu uzi hautendewi haki,,naona wakiristo na waislamu hapa watarushiana maneno ya chuki bila ya sababu yoyote.Kwanza nafikiri kabla ya kuchangia mngejua chanzo cha mgogoro pale CAR mpaka kupelekea mauaji yanayoendelea sasa,,ila kwa kifupi,Muisilamu usishabikie wala kutetea eti kwa kuwa anayefanyiwa hivyo ni musilamu mwenzio bila kujua mkosaji ni nani, na mkristo usishabikie mkiristo kumuua muislamu hata kama muslamu hana hatia....tuwe mawaakili wa haki,tuamue na kutenda haki bila kuangalia dini zetu na dunia itakuwa salama.Binafsi siwezi kumtetea mkiristo mwenzangu eti kwa kuwa tu ni mkristo mwenzangu na aliyeathirika ni musilamu hata pale mkiristo anapokuwa mkosaji.Hiyo sio dini ila ni shetani.
 
Vizur wamewafundisha adabu ili siku nyingine wasilete ujeuri wao
 
Hii ndiyo shida inayojitokeza unapoona suala hili kwa jicho moja badala ya yote mawili. Mauaji haya sio ya kushabikia hata kidogo. Na hayakuaanza jana bali yalianza siku nyingi. Mauaji yalianza mara mapinduzi yalipofanyika, kwa wale ambao sio wavivu wa kusoma habari za kimataifa wanajua hili siku nyingi kuwa Muslims are killing christians in CAR but nobody cared kwa sababu CAR is a failed state like Somalia. Wafaransa wakaingilia kati kama washirika wa CAR, tukumbuke hili ni koloni lao, pia UN ikastep in, wakati haya yakifanyika Christians nao wakawa wanajimobilize maana walikuwa wanachinjwa kama kuku mitaani, visasi vikaanza. Mambo sasa yamekuwa mazito kwa wale walioanza mauaji, naona sasa wengine ndiyo mnakuja hapa kuwa akina fulani wanauawa, mauaji yalianza siku nyingi.

Cha muhimu tujiulize sisi tuna fanya nini ili kukabiliana na mauaji ya reja reja yanayotokea nchini kwetu, kwa wale waliosahau nawakumbusha kuwa watu wengi wamekufa Kilosa, Mvomero, Ulanga, Kiteto na sehemu nyingine za nchi. Tumefanye nini kukomesha hiyo migogoro inayoleta hiyo rabsha, au tumebaki na wagalatia bana!!!!!!!! MWENYE UFAHAMU NA AFAHAMU
 
Mods funga hii topic watu watachomokea kwenye desktop na phone screens kukaba wenzao sasa hivi
 
Wanatamani waamke siku moja wakute hata misikiti haipo, lakini kwa uwezo wa Allah Sub'hana Wataala, hawataweza.

Ni hatua nzuri sana kujifunza.usije ukadhani ni wewe tu unahaki ya kushika panga na kuua.UKIJIONA UNA HAKI YA KUUA BASI UNA HAKI PIA YA KUUWA.sasa endeleen na chokochoko zenu ona tutavyo wapukutisha ------- 100%
 
Wameuawa na wakristo ambao wamewavamia kwa makundi na kuwafukuza majumbani kwao, na kisha kuwapora kila kitu! Unyama huo umeshirikisha wakristo kutoka hadi vijijini ambao wamekuja kuongeza nguvu ili kuhakikisha wanatokomeza waislamu wote! Wakristo hao walisheheni silaha mbalimbali zikiwemo bunduki za kienyeji, Machete, mikukuki na kila aina ya silaha.Source TVC News Africa.

Seleka madness imelete haya yote. Kwa siyejua mgogoro wa CAR anaweza fikiri wanautetea kristo. Kiukweli wanafanya revenge kwa sababu ya yaliyotokea wakati Seleka wakiwa na nguvu. Hapa inahitajika hekima sana kwa uongozi ili kuzuia mauaji ya kipuuzi kama ya Rwanda!
 
We ulikuwa wapi kukemea kipindi waislam wanawaua wakristo, mbona ulikakaa kimya? Leo kibao kimegeuka mbio unakuja na topic yako hii... Siwatetei ila wanapaswa kuwaonyesha adabu kidogo maana Waislam wanajifanyaga wao ndo wenye hasira na kuwaua watu wenye imani tofauti... Acha waone uchungu ni jinsi gani inauma ndugu yako akiuawa.

Kubali sasa hao Wakristo ni magaidi kwa kuua kwa kulipa kisasi.
 
Mkuu, umeonyesha wazi kwamba wewe umependezwa sana na jambo hili! Yaani wanaoendesha mauaji dhidi ya waislamu ni wakristo we unasema ni wananchi wenye hasira kali! Maajabu! Nipe tafsiri ya neno gaidi.

Kwa jinsi nliivyofurahi nataman kwenda kuungan na makafri ktk kuchinja wale magaidi.
Hapa tz,mara utasikia huko Mtwara wamekamatwa waislam wakifanya mazoezi ya kigaidi.
Huko Arusha waislamu wanachoma makanisa.
Kule zanzibar waislamu mwa waua viongozi wetu wa dini.
Mara mwaweka mikutano ya kukashifu ukristo.Sisi tuko kimyaaa.

OLE OLE WENU UZAO WA ISMAEL.
OLE OLE WENU UZAO WA HARAMU,
OLE OLE WENU UZAO WA CHUKI NA ULIPAJI VISASI.KWANI MWISHO WENU WAJA.
 
Wameuawa na wakristo ambao wamewavamia kwa makundi na kuwafukuza majumbani kwao, na kisha kuwapora kila kitu! Unyama huo umeshirikisha wakristo kutoka hadi vijijini ambao wamekuja kuongeza nguvu ili kuhakikisha wanatokomeza waislamu wote! Wakristo hao walisheheni silaha mbalimbali zikiwemo bunduki za kienyeji, Machete, mikukuki na kila aina ya silaha.Source TVC News Africa.

Yaaaaani! Haya si ndiyo mawazo ya kitoto na ya kihanidhi yanayosumbua watu kila siku? Nikisoma haya naelewa kuwa waislamu walikuwa wakiishi katika mitaa ya waislamu watupu na wakristo wamekwenda huko na kuanza kuwafurusha. Kama si kuchochea udini ni nini?

Hivi kuna dunia ambayo wakristo wanaishi mitaa yao na waislamu yao. Labda Saudia! Taarifa yako ni uongo na uchochezi wa kutaka kutangaza shida yako binafsi inayokusumbua, siyo ukweli!
 
Kwa jinsi nliivyofurahi nataman kwenda kuungan na makafri ktk kuchinja wale magaidi.
Hapa tz,mara utasikia huko Mtwara wamekamatwa waislam wakifanya mazoezi ya kigaidi.
Huko Arusha waislamu wanachoma makanisa.
Kule zanzibar waislamu mwa waua viongozi wetu wa dini.
Mara mwaweka mikutano ya kukashifu ukristo.Sisi tuko kimyaaa.

OLE OLE WENU UZAO WA ISMAEL.
OLE OLE WENU UZAO WA HARAMU,
OLE OLE WENU UZAO WA CHUKI NA ULIPAJI VISASI.KWANI MWISHO WENU WAJA.

Waislamu sio uzao wa Haramu, we dini gani?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom