Waislam iogopeni dhambi ya kitimoto

Waislam iogopeni dhambi ya kitimoto

Status
Not open for further replies.

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
57,991
Reaction score
134,156
Japo mimi sio muislam,lakini natambua vyema kuwa kwa wenzetu kitimoto ni haramu.Sasa leo nimekutana na Hassan Mansoor anasema dhambi ya kula kitimoto ni kama dhambi zingine ya kuzini,kutukana nk.Kwa hiyo akipata fursa anakamua.Daah nimesikitikana sana
 
Japo mimi sio muislam,lakini natambua vyema kuwa kwa wenzetu kitimoto ni haramu.Sasa leo nimekutana na Hassan Mansoor anasema dhambi ya kula kitimoto ni kama dhambi zingine ya kuzini,kutukana nk.Kwa hiyo akipata fursa anakamua.Daah nimesikitikana sana

Jamani! Mimi sisemi uongo...Waislamu wengi wanakula Kitimoto...Kipindi nipo chuo ma-best zangu wa Kiislamu tulikuwa tunapiga nao vizuri tuu..
 
naona mmeamua kuwaandama waislam haya na mbarikiwe sana
 
Japo mimi sio muislam,lakini natambua vyema kuwa kwa wenzetu kitimoto ni haramu.Sasa leo nimekutana na Hassan Mansoor anasema dhambi ya kula kitimoto ni kama dhambi zingine ya kuzini,kutukana nk.Kwa hiyo akipata fursa anakamua.Daah nimesikitikana sana

Bora kuzini kuliko kula Noah!
 
...huyu mdudu ni mtamu balaa,inshaallah na tumtafune mnyaazi mungu kamleta kwa lengo maalum...
 
Japo mimi sio muislam,lakini natambua vyema kuwa kwa wenzetu kitimoto ni haramu.Sasa leo nimekutana na Hassan Mansoor anasema dhambi ya kula kitimoto ni kama dhambi zingine ya kuzini,kutukana nk.Kwa hiyo akipata fursa anakamua.Daah nimesikitikana sana

Innalillah Wainnaillah Rajiun!!!
 
Jamani! Mimi sisemi uongo...Waislamu wengi wanakula Kitimoto...Kipindi nipo chuo ma-best zangu wa Kiislamu tulikuwa tunapiga nao vizuri tuu..

mi sikubalia na hili,binafsi sijawahi kushuhudia,nataka nione mwenyewe
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom